Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Sasa si bora hata huyo Kamala, Trump ndio chiz alisema akishaingia Iran shuguli anayo, Trump alihamisha ubaloz wa US israel akaupeleka Jerusalem makusudi na palestina na Midsle east yote walikasirika.. na akatambua settlement za israel pale westbank. Kama sehem ya israel na wala sio uvamiz

Yaan kwenye swala la Israel na palestina .. Palestina walau wanaweza wakapata ahueni kwa kamala kuliko trump.

Imeelezwa mara 💯 kidogo kwa nini ni afadhali apigwe chini.

Umeelewa hata kwanini katokea kuwaangukia hao ndugu?
 
Sasa si bora hata huyo Kamala, Trump ndio chiz alisema akishaingia Iran shuguli anayo, Trump alihamisha ubaloz wa US israel akaupeleka Jerusalem makusudi na palestina na Midsle east yote walikasirika.. na akatambua settlement za israel pale westbank. Kama sehem ya israel na wala sio uvamiz

Yaan kwenye swala la Israel na palestina .. Palestina walau wanaweza wakapata ahueni kwa kamala kuliko trump.

Imeelezwa mara 💯 kidogo kwa nini ni afadhali apigwe chini.

Umeelewa hata kwani katokea kuwaangukia hao ndugu?
 
Np
Sioni wapi yanaingia haya uliyokurupuka kuyaandika.

Bila kusahau humu jf anonymity ni pamoja na wewe kutokuwa na haki ya kuniita au kunifikiria kwa lolote kivyako vyako!

Nje ya hapo andiko lako hili, irrelevant kama lilivyo laonyesha kupagawa kwako zaidi.

Kwamba makasiriko yako haya bila shaka ni kutokana kukumbushwa mambo ya Mecca na Madina kuwa wengine hayatuhusu?

Kwa hakika huo ndiyo ulio ukweli.

Kila mtu ana dini yake na kama yako unadhani ni bora zaidi, kumbe ituhusu nini wengine tusiokuwamo au hata kuihitaji?

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Mpaka unajibishia mwenyewe?
 
Np

Mpaka unajibishia mwenyewe?

Kwamba ni swali, jibu ni hapana.

Watu kama wewe ndiyo mnaosababisha hata jinsia na dini zisizokuwa na hatia kutiliwa mashaka na hata kutwezwa.

Wewe si ndiye huyu?

IMG_20241105_210428.jpg


Bure kabisa!
 
Kamala atashinda uchaguzi huu kweli?
 

Attachments

  • IMG-20241105-WA0044.jpg
    IMG-20241105-WA0044.jpg
    118.9 KB · Views: 3
Ila kamala akishinda lazima gazeti la pongezi litoke kupitia x kutoka kwa rais wa puerto rico.

Nimewahi X huku kusubiria kabla ku declare wewe ndugu kuwa nabii!
 
Hakuna atakaye badili sera za USA na Israeli, Jews wana control uchumi wa USA kupitia Rothchild family, Trump awamu ya kwanza aliitambua Yerusalemu kama sehemu ya Israel na atafanya hivyo. Period
 
Kwanini waislamu wengi wanaenda kutafuta hifadhi kwa mashetani kwanini wasiende Iran?
Nadhani upo finyu sana kulewa kuwa hao wazungu walipelekwa huko na Waislam na Waislam walianza kufika huko kabla ya Columbus na makuruseda wenzake kupeleka wauwaji wa wenyeji huko na watumwa wa Kiafrika.

Waislam tunaenda huko kuhuisha Uislam uliokuwepo huko kabla ya shetani kuwaua Waslam hiuko.

Kalifanyie homework hilo.
 
Wewe Kuna chawa wakikusikia wewee.
Pascal mayala & Lucas Mwafambwa.
Wale nguruwe policy huwaambii kitu
 
Acheni UPUMBAVU wa kudhani waislamu ni watakatifu sana.
1. Afande Rama yule swala 5 wa Zanzibar alikuwa anafirwa.
2. Juma lokole anafirwa.
3. Pemba vijana wengi wanafirwa na ni waislamu.
4. Mtume Muhammad alipulizwa matakoni na shetani hadi akajamba, bisha nikupe hadithi.
Hakuruhusiwa na Uislam wala msikiti.

Kataa sasa kuwa kanisa linaruhusu ushoga mpoaka kuoana.

Uislam ni mwema sana na ndiyo kimbilio lako. Hauna kwengine.
 
Huu bdio upumbavu wa madrasa.
Kwewli kabisa kijana, hizo ni akili za madrasa, hujakosea kabisa. Bila "madrasa" usingepata neno madarasa leo hii. Kumbuka hilo.

Mwafrika kwanini ujidharaulishe? Kila lililo zuri ulilofanya wewe limekuwa la wazungu na wewe unakubali na kuchekelea. Mafrika wewe ndiye pekee ulikuwa unaijuwa njia ya kwenda Amerika kwa baharini, kwanini umejazwa ujinga wa kutojiamini?

Waafrika Magharibi tena Waislam, ndiyo waliwapeleka wazungu Amerika, hata Columbus walimpeleka wao. Waafrika wlikuw walikuwa wanakwenda huko kabla ya wazungu.

Hata huku kwetu Afrika Mashariki, tuliwapeleka sisi India wazungu. Kataa na hilo.

Soma kijana, usiwe mtumwa uliyetiwa minyororo ya ubongo kwa kusomeshwa ujinga:


View: https://youtu.be/OlDGdwiGzOw?si=1ZNTLK2TiEcR9xrd

Naona huelewi kwanini mashetani wa kizungu wanauchulia sana Uislam. Sabau unakufunguwa macho wewe uliye lala. Umejazwa ukondoo kijana, ukatae ukondoo, funguwa minyororo ya kichwani mwako.
 
Ni WAISLAMU acha kupotosha hao ni waislamu wenzenu kama wale wanaofirwa unguja na pemba.
Umepotoshwa kondoo, unashadasia, au ndiyo walewale unartafuta pakutpokea?

Wewe kama ni shoga ni wewe mwenyewe na ndukum wako, usiuongoje Uislam ukakuruhusu, hautokuruhusu kamwe, Uislam siyo sheria za kubadilika badilika, ni sharia.
 
Back
Top Bottom