FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hujanisoma juu "no lesser devil"?Kati yao nani Shetani mkubwa?
Huwa mnakurupuka tu? Pitia kwanza mada kabla hujaanza kuhororoja na kubwabwaja kujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanisoma juu "no lesser devil"?Kati yao nani Shetani mkubwa?
Baki na zako ambazo siyo dhaifu.Fikra dhaifu mnoo.
Ushasema ni "pseudo democracy" kuna nini cha kujadili zaidi hapo?
Au hauelewi maana yake?
Tumekuchoka! Sijui una elimu Gani.
Usichanganye uswahilini na huko majuu wewe! Unamkumbuka Angel Makel wa Ujerumani na yule Magreth Thatcher wa UK? Huku uswekeni ni hovyo sana!Tanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.
Fidel Castro alikuwa hana dini, alipoulizwa kuhusu uchaguzi wa marekani alijibu hivi:Nimesema milengo ya haki na dini kuelekea Palestina ni tofauti.
Huko kwenye dini wengine hata zetu zilitushinda tutaziweza zenu?
Matokeo yatatoa jibu..Unafahamu huu uchaguzi bila shaka utaamuliwa kwa makumi elfu kidogo ya kura?
Unafahamu hawa waliokuwa wapiga kura wa kindaki ndaki wa democrats, safari Hii wamemsusa yeye na chama chake ili kuwtia adabu wao binafsi?
Haipo shaka atavuna alichopanda.
Au wewe huoni hivyo?
Haya!Baki na zako ambazo siyo dhaifu.
Mwafrika kakaa anashadadia uchaguzi wa marekani, utafikiri unamuhusu. Ya nyumbani kwake yanamshinda, ndiyo fikra bora hizo?
Matokeo yatatoa jibu..
Kamala ndio nafuu kwa raia wa Gaza kuliko mahafidhina kama TrumpMkuu hata matokeo akipenya ajue ilikuwa tundu la sindano na ajue alikuwa kachezea shilingi kwenye choo cha shimo.
Kamala ndio nafuu kwa raia wa Gaza kuliko mahafidhina kama Trump
Hakuna lolote. Ua magaidi na familia zao na wananchi wote huko gaza na lebanon.
TanganyikaKwani wewe unaishi wapi?
Kamala labda bao.la mkono la usalama wa taifa wa marekani ...maana wana hofu kubwa sana ya trump kurudi madarakani na hofu yao ni yakweli maana jamaa akirudi kwa waliyo mfanyia lazima awashikishe adabu.Rais ni Kamala, fullstop.
Sasa wewe hadi leo ujajua kuwa wanawake uwezo wao upo chini sana ya wanaume ..jinsia ya kike moja kwa moja inauwezo mdogo sana kuwa viongozi.Sidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jinsia unakosea sana.
Kamala ni Rais.Kamala labda bao.la mkono la usalama wa taifa wa marekani ...maana wana hofu kubwa sana ya trump kurudi madarakani na hofu yao ni yakweli maana jamaa akirudi kwa waliyo mfanyia lazima awashikishe adabu.
Amefeli 😂 atulie tu muda wa kwenda kulisha bata uwani umewadiaKwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Uwezo mdogo bwana au mpaka tuongee maneno ya kuwachukiza akina ChoiceVariable na Lucas MwashambwaSidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jinsia unakosea sana.