Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!

Hao wote ni hali moja, hakuna mwenye afadhali. Wote ni mashetani, hawawezi kuendesha nchi nje ya mfumo wa kishetani.

Hakuna "lesser evil".
Wewe hueleweki hata unataka nini.
Kutokupiga kura kwako hakuzuia yoyote kuchaguliwa.
Kwani wagombea ni Trump na Kamala Harris pekee?
Kwanini msiwapigie hao wengine?
 
Kumchagua Trump kwa kisingizio kwamba Kamala hajawasaidia wapalestina ni hoja muflis.Trump ndio alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem kuthibitisha kwamba yeye ni die hard sponsor wa Israel.
Hakuna Rais mwingine kabla yake aliyeweza kuchukua hatua hiyo.
Ndio Rais aliyeanzisha ban kwa Nchi 7 za Kiislamu raia wake wasiruhusiwe kuingia Marekani.
Policy ya Marekani kuhusu Israel haiwezi kubadilika.Marekani ndio inailinda Israel.
 
Kwenye Biblia au Quran sijawai ona kuna historia ya mwanamke kiongozi, Lkn Tunaongozwa na saa100 na kamara atapita tu.
 
Ushasema ni "pseudo democracy" kuna nini cha kujadili zaidi hapo?

Au hauelewi maana yake?

Tofauti ya mawili Haya ni significant:

1. Kumwunga mkono mpalestina kutokea kwenye mlengo wa haki.

2. Kumwunga mkono mpalestina kutokea kwenye mlengo wa dini.

Hilo #2 wengine hatumo.

Hilo #2 ndilo linalowafanya kujifanya wajuaji hadi mnakera.

Dini kila mtu ana yake!

Mawazo kila mtu ana yake!

Kujifanya wajuaji nyuma ya fake ID tusikojuana mnakera!

Huu ni ushauri wa bure kusuka au kunyoa ni shauri yako!
 
Sasa mbona Trump nae ana support Israel kwa kila kitu
Alisema mji mkuu uwe Jerusalem
Huu ni mda wa majeruhi
Walikuwa wanapigana vijembe wakasahau mpaka sera zao
Sasa wameona ohoooo ndio wanaongea kwa heshima wote wawili
Ila safari hii naona watampa mwanamke
Trump anachukua nchi kabla ya swala ya alfajiri
 
Kwenye Biblia au Quran sijawai ona kuna historia ya mwanamke kiongozi, Lkn Tunaongozwa na saa100 na kamara atapita tu.

Kwani vitabu vya dini ni biblia na Quran tu?

Jinafasi uangalie na kwa mabaniyani, mabuddha na wengi wengine huko.
 
Kumchagua Trump kwa kisingizio kwamba Kamala hajawasaidia wapalestina ni hoja muflis.Trump ndio alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem kuthibitisha kwamba yeye ni die hard sponsor wa Israel.
Hakuna Rais mwingine kabla yake aliyeweza kuchukua hatua hiyo.
Ndio Rais aliyeanzisha ban kwa Nchi 7 za Kiislamu raia wake wasiruhusiwe kuingia Marekani.
Policy ya Marekani kuhusu Israel haiwezi kubadilika.Marekani ndio inailinda Israel.
Kumchagua Trump kwa kisingizio kwamba Kamala hajawasaidia wapalestina ni hoja muflis.Trump ndio alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem kuthibitisha kwamba yeye ni die hard sponsor wa Israel.
Hakuna Rais mwingine kabla yake aliyeweza kuchukua hatua hiyo.
Ndio Rais aliyeanzisha ban kwa Nchi 7 za Kiislamu raia wake wasiruhusiwe kuingia Marekani.
Policy ya Marekani kuhusu Israel haiwezi kubadilika.Marekani ndio inailinda Israel.

Kwako ni mufilisi lakini si kwa wengine wakiwamo wapiga kura wenyewe:

IMG_20241104_161447.jpg


IMG_20241104_161524.jpg

IMG_20241104_161602.jpg


Kwani wewe unateswa na hoja hiyo ukiwa mwananyamala ipi?
 
Kwani vitabu vya dini ni biblia na Quran tu?

Jinafasi uangalie na kwa mabaniyani, mabuddha na wengi wengine huko.
Kila mtu anaishi kwa imani yake, mimi sijui buddha au mabiniyan... so uwez ulkuniuliza kuniuliza swali kama hilo,
 
Wagombea wote wakubwa wawili yaani Trump na Harris ni Pro-Israel.

Unafahamu huu uchaguzi bila shaka utaamuliwa kwa makumi elfu kidogo ya kura?

Unafahamu hawa waliokuwa wapiga kura wa kindaki ndaki wa democrats, safari Hii wamemsusa yeye na chama chake ili kuwtia adabu wao binafsi?

Haipo shaka atavuna alichopanda.

Au wewe huoni hivyo?
 
Kila mtu anaishi kwa imani yake, mimi sijui buddha au mabiniyan... so uwez ulkuniuliza kuniuliza swali kama hilo,

Nilidhani kama ndivyo ungekuwa umeandika kuhusu biblia tu au Quran tu.

Au hukugundua tayari ulishaandika kuhusu Imani 2 tofauti?
 
Hawa wote ni wale wale. Hakuna mwenye afadhali si Trump si Kamala. Wote wanamtumikia Yahudi

Tofauti Iko hivi hawa waliokuwa die hards wa democrats kwa safari hii na kwa hili wameamua kumchinjia bidada baharini.

Bila hii vita hao wasingempigia Trump ila bidada.

Safari hii na hii vita wameamua kumtia adabu.

Tofauti Iko hapo tu.
 
Tofauti ya mawili Haya ni significant:

1. Kumwunga mkono mpalestina kutokea kwenye mlengo wa haki.

2. Kumwunga mkono mpalestina kutokea kwenye mlengo wa dini.

Hilo #2 wengine hatumo.

Hilo #2 ndilo linalowafanya kujifanya wajuaji hadi mnakera.

Dini kila mtu ana yake!

Mawazo kila mtu ana yake!

Kujifanya wajuaji nyuma ya fake ID tusikojuana mnakera!

Huu ni ushauri wa bure kusuka au kunyoa ni shauri yako!
Ushasema ni "pseudo democracy" kuna nini cha kujadili zaidi hapo?

Au hauelewi maana yake?
 
Wewe hueleweki hata unataka nini.
Kutokupiga kura kwako hakuzuia yoyote kuchaguliwa.
Kwani wagombea ni Trump na Kamala Harris pekee?
Kwanini msiwapigie hao wengine?
Sipigi kura, nani akahangaike na huo ujinga?
 
Back
Top Bottom