- Thread starter
- #21
😀😀😀 ni kweli.
Taabu yao ujuaji mwingi, na kuwachukulia wengine poa.
Bure kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 ni kweli.
Sidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jnsia unakosea sana.
Siyo bando mkuu. Tunaangalia chanzo cha mgogoro. Haki ya kuwepo kwa Israeli na Wapalestina kuamini kuwa Israel haupaswi kuwepo wakiamini ardhi ni yao.
Hapo Trump akisema atamaliza mgogoro anawadanganya. Vivyo hivyo kwa Kamala.
Hao wote ni hali moja, hakuna mwenye afadhali. Wote ni mashetani, hawawezi kuendesha nchi nje ya mfumo wa kishetani.
Hakuna "lesser evil".
Majuto yapi mkuu...? Ameangalia statistics za US nzima zinasemaje kuhusu vita! ....Maana Trump naye alisema mapema naye atamaliza vita...Swali kubwa watamalizaje!
Ni dakika za majeruhi sasa hivi ! Kila upande unaangalia kipi kinaweza kubadilisha upepo! Na kama kasemea Michigan labda kaangalia Trump alisema nini alipokuwa Dearborn!
Alipanga hivyo,Ili kuwanyima pro israel muda wa kujadiliana na kushawashiana wakati huo waarabu wa michigan wakiwa wamechanganyikiwa kwa hilo na kutokua na msimamo mmoja,kila move ipo calculated,hawaropoki tu kama slaaKwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
Alikua wapi kuisemea hizo siku zote kasubiri hadi siku zimeisha.
Huyu mama ni Elton Honi, watu wanapiga
Utasubiri sana.Wote evil lakini acha huyu aliyewachukulia wapiga kura hawa for granted siku zote, japo this time wamtie adabu kwanza na ajue kwa hakika ni hawa.
Mengine baadaye.
Au nasema uongo?
Alipanga hivyo,Ili kuwanyima pro israel muda wa kujadiliana na kushawashiana wakati huo waarabu wa michigan wakiwa wamechanganyikiwa kwa hilo na kutokua na msimamo mmoja,kila move ipo calculated,hawaropoki tu kama slaa
Wewe nawe unadhani utampata huyo binti kiziwi na hizi swagger zako za kishamba za kigaidi za kipalestina?
Wewe nawe unadhani utampata huyo binti kiziwi na hizi swagger zako za kishamba za kigaidi za kipalestina?
Huyo mshikaji wake Adriz ana wivu na sisi 😂
Acha shobo zembe na za kishamba. Huwezi ukalipata hili toto kali la kinyaturu kwa approach zako za kizembe na za kigaidi. mmemfanya hadi alitoaga avatar picha yake nzuri ya red lips kwa kumsumbuasumbua na swagger zenu za kisoro.
1. Nchi inajiendesha yenyewe !Umefanywa nini cha kukuliza Tanzania?
Kinachokuliza tanzania ni ukondoo wako tu, hakuna zaidi.