milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
1. Kila penye ile jinsia ni upiga mkubwa wa fedha za umma.Sidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jnsia unakosea sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Kila penye ile jinsia ni upiga mkubwa wa fedha za umma.Sidhani kama tatizo ni jinsia, tatizo ni mtu na uwezo wake. Ukisema issue ni jnsia unakosea sana.
Uongo mtupu.1. Nchi inajiendesha yenyewe !
2. Kila mtu ni msemaji wa chama na serikali.
3. Kizurura na njia!
4. Unakopa unajenga vyoo na madarasa, Tanrods wanalia nchi Haina Barbara ina viraka.
5. Kila kitu kimeuzwa,utadhani tumefika mwisho kuzaa, kumbe tunaendelea na hatujui watoto wataelekea wapi.
6. Hatembelei maeneo hakuna bara Baar za lami.
Tumekuchoka! Sijui una elimu Gani.Uongo mtupu.
Huna hoja hata moja, andika hoja yako moa tu tuijadili kwa ushahidi, wacha kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Na nani mwengine? Si mmewekewa sanfuku la kura, kama "mmechoka" na huyu mnamchaguwa yuiule.Tumekuchoka! Sijui una elimu Gani.
Trump ndiye raisi wa Amerika aliyetangaza kwamba Jerusalem ni mji mkuu wa Israeli.Wote evil lakini acha huyu aliyewachukulia wapiga kura hawa for granted siku zote, japo this time wamtie adabu kwanza na ajue kwa hakika ni hawa.
Mengine baadaye.
Au nasema uongo?
Kura ni KULA! Mdosi burushu kastukia! 😁😆😅😂🤣Kwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.
unaendeleaje ewe m-kale Ushimen mwana wa sir100?USA haiwezi kubali huo ujinga, pamoja na kwamba wao ndio waasisi wa gender equality
Naendelea uzuri kama hivi shekhunaendeleaje ewe m-kale Ushimen mwana wa sir100?
Yeap!Jinsi ni kuionea bure.
Kwa hili la Gaza na akwendree mbali.
Heli adui kuliko minafiki.
Kwa hio wewe wakiweka Debe Tupu pale na Kamala pale unachagua nini?Tanganyika tunalia kwa jinsia hii, nitaishangaa USA kumchagua.
Bora kichaa kuliko jinsi...hii.
Kwa hio Jinsi imepasuka magotini?Jinsi ni kuionea bure.
Kwa hili la Gaza na akwendree mbali.
Heli adui kuliko minafiki.
Hawana tofauti na mchungaji anayesema atamwombea muumini wake apate gariSiyo bando mkuu. Tunaangalia chanzo cha mgogoro. Haki ya kuwepo kwa Israeli na Wapalestina kuamini kuwa Israel haupaswi kuwepo wakiamini ardhi ni yao.
Hapo Trump akisema atamaliza mgogoro anawadanganya. Vivyo hivyo kwa Kamala.
Ukipigwa nani atakusaidia?Acha shobo zembe na za kishamba. Huwezi ukalipata hili toto kali la kinyaturu kwa approach zako za kizembe na za kigaidi. mmemfanya hadi alitoaga avatar picha yake nzuri ya red lips kwa kumsumbuasumbua na swagger zenu za kisoro.
Humpati ng'oo
Israel FOREVER
binti kiziwi
Fikra dhaifu mnoo.Hao wote ni hali moja, hakuna mwenye afadhali. Wote ni mashetani, hawawezi kuendesha nchi nje ya mfumo wa kishetani.
Hakuna "lesser evil".
huo ndiyo ukweli. Mbona wenyewe wanasema kila siku.Fikra dhaifu mnoo.
Haya!huo ndiyo ukweli. Mbona wenyewe wanasema kila siku.
Kati yao nani Shetani mkubwa?huo ndiyo ukweli. Mbona wenyewe wanasema kila siku.
Trump ndiye raisi wa Amerika aliyetangaza kwamba Jerusalem ni mji mkuu wa Israeli.