ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama Toka Mwanzo alisema ataendelea Kuunga mkono Israel Kwa Nguvu zote,Leo hii ndio ageuke kinyume na msimamo wa Chama chake? Hilo halipo na hakuna wajingaKwa hakika kura hizo Kamala atazikumbuka.
View attachment 3143259
Ndiyo hivyo tena.
Majuto ni mjukuu.