Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

Kamala Harris aumbuka kwa kudanganya ni Mmarekani mweusi, wamarekani weusi wanamkataa na kuhamisha focus kwa Trump

Watajua wenyewe ..huku kwetu 2025 tunasimama na mama
 
Kiongozi habari za marekani!!



Hao unao sema awatampatia kura ndio kundi kubwa MNO lisilo fanya kazi na kujishughulisha wanategemea kulipwa posho kutoka chama hiki!!


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wewe unapiga kura US?

Kuishi maisha ya shida na dhiki sio sifa. Kuongea Ebonics au kuwa affiliated na weusi sio kigezo cha kuwa rais.
 
Wewe unapiga kura US?

Kuishi maisha ya shida na dhiki sio sifa. Kuongea Ebonics au kuwa affiliated na weusi sio kigezo cha kuwa rais.
If you prefer Local chambers over International dialogue, you're in the wrong place, nenda majukwaa ya kitaifa,
 
Kiongozi habari za marekani!!



Hao unao sema awatampatia kura ndio kundi kubwa MNO lisilo fanya kazi na kujishughulisha wanategemea kulipwa posho kutoka chama hiki!!


KAZI ni kipimo cha UTU
Hao Black Americans ni kama saa mbovu, Ni kundi linaloongoza kwa crime, victimhood, kuto elimika, n,k. lakini kwenye siasa za marekani ni mtaji.

Na ndio maana hata Harris anafosi kuwa Black American, kwenye siasa za Marekani ngozi inaweza kuwa engineered politically kuongeza kura.
 
Njia ni nyeupe kabisa kwa Trump,

Uongozi wa Biden wamefungua mipaka maharamia milioni 20 wameingia bila vibali, Uhalifu umeongezeka, Mamia ya mabilioni ya kodi za wananchi yanapelekwa Ukraine, Mfumuko wa bei, Soko la hisa limecrush vibaya mno, n.k.
Trump angemshinda Joe.. Sio mwana Mama..
 
Kuna watoto wanarithi zaidi dna za mzazi flani
Baba yake Kamala ni Mjamaika aliyemiksi na Muafrika na MuIrish ni Biracial yaani kiswahili tunaita Chotara.

Unachotaka kutuaminisha Y na X Chromosomes ni sio Rocket Science?!

thumbnail_Donald J. Harris ©DJH-web.jpg

Kama Obama tu.
 
Kamala anakataliwa simply kwa sababu ni mwanamke, no more no less.
 
Ishu ni kwamba

-Harris kaishi Canada mitaa ya kishua ya wazungu, hajaishi mazingira ya wamarekani weusi.
-Kaishi na wahindi upande wa mama yake, hajaishi na black amaricans
-Ana muonekano wa kihindi sababu dna ni 75% indian
-kakiri mara nyingi yeye ni muhindi, kaanza kujiita mwesi hivi karibuni

Simply put, Kamala Harris ni Canadian Indian

What's wrong with that? Mnataka aukane uhindi wake?
 
If you prefer Local chambers over International dialogue, you're in the wrong place, nenda majukwaa ya kitaifa,

Hayo ni maswali ya kawaida tu ili tujue tunajadili na mtu wa aina gani.

Hata Obama alikua biracial and grew up with his white parent ila alipoanza campaign walisema the first black president. The rest is history.

Kumkwamisha mtu kwa kutumia race yake ni njama tu za kisiasa zilizopitwa na wakati.
 
Sijaelewa Demokrasia maana yake kwa kweli
Yaani watabaguana hata wazawa na watauwana kisa huyu mweupe wa mweusi au njano
Mwisho watasema sisi ndio baba wa uhuru wa haki
Hivi akiwa Raisi ataongea kihindi?
 
View attachment 3064600



View attachment 3064591

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi.

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Lakini harris kwa blacks ni bora zaidi kuliko trump ambaye amekuwa na kauli nyingi za kibaguzi dhidi ya blacks, juzi alisema foregners are taking black jobs kitu ambacho ni cha kibaguzi
 
View attachment 3064600



View attachment 3064591

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi.

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Bullshit. Kamala Harris hajaanza kujitambulisha leo kama black, maisha yake yote amekuwa identified kama black. Halafu hao wote uliowaweka hapo chini hawawakilishi watu weusi wa America. Huo upuuzi ameanzisha Trump juzi tu hapa baada ya kupaniki kuona Joe Biden amejitoa.
 
Ishu ni kwamba

-Harris kaishi Canada mitaa ya kishua ya wazungu, hajaishi mazingira ya wamarekani weusi.
-Kaishi na wahindi upande wa mama yake, hajaishi na black amaricans
-Ana muonekano wa kihindi sababu dna ni 75% indian
-kakiri mara nyingi yeye ni muhindi, kaanza kujiita mwesi hivi karibuni

Simply put, Kamala Harris ni Canadian Indian
Another bullshit. Kamala aliishi Canada kwa muda mfupi baada ya wazazi wake kuachana kabla ya kurejea US kuendelea na masomo kwenye chuo kikuu cha Howard. Kama angekuwa Canadian Indian asingeruhusiwa hata kugombea Urais
 
Lakini harris kwa blacks ni bora zaidi kuliko trump ambaye amekuwa na kauli nyingi za kibaguzi dhidi ya blacks, juzi alisema foregners are taking black jobs kitu ambacho ni cha kibaguzi
Nikusahishe, sio Foreigners na Illegal Immigrants

wanapenda kwenda sehemu zenye black amaericans, majiji kama Chicago, huko wanachukua kazi za wenyeji black americans..

1723141517945.png
 
Foreigners wanachukua kazi za wamarekani weusi kwasababu foreigners wengi wanapenda kwenda sehemu zenye black amaericans kama Chicago
lugha hiyo ni provocative, let me ask what are black jobs and what are white jobs? Hata olympic medalist karisha dongo hapa kwa trump ,alichoongea trump ni matusi na dharau kwa watu weusi
 

Attachments

  • Screenshot_20240808-183657_Chrome.jpg
    Screenshot_20240808-183657_Chrome.jpg
    312.4 KB · Views: 3
lugha hiyo ni provocative, let me ask what are black jobs and what are white jobs? Hata olympic medalist karisha dongo hapa kwa trump ,alichoongea trump ni matusi na dharau kwa watu weusi
Wamarekani weusi wanalalamika kazi zao zinaibiwa na Illegal Immigrants, Trump hajakosea.

Biden karuhusu maharamia milioni 20 bila vetting baadhi wakiwa ni wauaji, wabakaji, gang members, drug dealers, terrorists, child traffickers, n.k. na wengi wanakimbilia kujazana kwenye majiji yenye black americans na kuanza kupeana kazi wenyewe kwa wenyewe wanawa push blacks nje.

Trump yupo sawa 100%


View: https://youtu.be/ORHyOePidKc?si=9plwhDZrjREKb2G4

1723141803359.png
 
View attachment 3064600



View attachment 3064591

Wazazi wa kamala Harris upande wa baba (Profesa Donald J. Harris) ni chotara wa Jamaica na Ireland , Upande wa mama (Profesa Shyamala Gopalan) ni Mhindi.,

Kamala Harris karithi zaidi DNA ya upande wa mama kwa asilimia 75%, hivyo ni mhindi zaidi.

Kamala akiwa bado mtoto miaka ya 70 wazazi wake waliachana, Aliishi na mama yake na ndugu zake wa kihindi, likizo nyingi walisafiri kwenda India.

Amekuzwa Canada kwenye mitaa ya wahindi, hajakulia mitaa ya wamarekani weusi

Alitangazwa kuwa Senator wa kwanza mwenye asili ya kihindi na hakuafiki.

Ni mara nyingi alikiri kwa kinywa chake yeye ni mhindi, Ni mpaka hivi karibuni kaanza kujiita Black American kwa malengo ya kisiasa

View attachment 3064607
Wamarekani weusi wengi wamestukia mchezo, wanamkataa wazi wazi bila kumungunya maneno, Kuna ongezeko kubwa sana la wamaerekani weusi wanaompa support Donald J Trump.


View attachment 3064653
View attachment 3064602
View attachment 3064652
View attachment 3064654
Huyo ni Mhindi kabisa ukimutazama tu uso wake unajua ndugu yake Sunak, yule mdosi aliye jidai hataki wakimbizi wakati yeye mwenyewe baba yake alizaliwa Kenya. Baniani toka lini wakawa na kheri watu wanao choma moto maiti zao.
 
Back
Top Bottom