Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

Kamala Harris: “Mimi ni mwanasheria, Trump ni muhalifu aliyekutwa na hatia mahakamani”

Hapa nadhani unazungumzia umuhimu wa “Battleground states”

Ziko sita kama sikosei. Mara zote “Battleground states” ndizo ambazo huamuwa mshindi wa urais na siyo popular votes peke yake. Nitaweka uzi wa “battleground states” ili tufuatilie nani anaongoza. Ambapo hadi usawa huu Trump yuko juu ya Harris. Hata hivyo Harris anapunguza “gap” kadri muda unavyokwenda.
Harris Hawezi kumzidi Trump kwenye "Battleground states"

Alichobakiza Harris ni Accusation za Trump za unyanyasaji wa Kijinsia ila nothing else..
 
Umepigilia msuri kwenye kidonda jamaa lipo vyema sana sana hizo siasa uchwara za huyo maza zitamtokea puani maana li mwamba likianza kutema madini dunia yote husikiliza

Yeye (Haris) ajikite kwenye kuuza sera atalifanyia nini taifa akichaguliwa kuliko kutegemea mbeleke maana jamaa halichafukiki

Kama ni lihalifu imeshindikana nini kwenda kunyea debe? ...Ukweli ni kwamba hizo figisu zimeshagonga mwamba na hata raia wameshajua kuna figisu za kipumbavu

Itoshe kusema hakuna wa kumzuia Trump si Marekani yenyewe wala Iran
Hakuna wa kumzuia?
 
Hakuna wa kumzuia?
Mkuu jmushi1. unapoteza muda. Kujadiliana na hayo mabumunda, heri hata ujadiliane na meza. Mijadala ya siasa za nchi kama Marekani, inawazidi kimo. Mtu anaona sifa kuitwa chawa, utajadili nini naye? Kwa hapa Tanzania ujinga ndio mtaji wa chama tawala, CCM.

Kwa Trump Urais ni swala la kufa na kupona na ndio tumaini lake la mwisho. Anajua asipoupata Urasi amekwenda na maji. Haya mabumunda yanamsikia tu Kamala Harris aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa jimbo la California, atamgaragaza Trump asubuhi na mapema.

Sijui Trump atakimbilia sayari gani baada ya November mwaka huu...anaweza hata akaikimbia nchi akatafuta hifadhi kwa rafiki yake Putin...

YES, SHE CAN!
 
Nakubaliana na wewe kwa 100%
Kama Marekani ilivyomuhitaji Obama Kufanya Reformation kwenye Uchumi na Regulation na kupunguza Unemployment kupitia American Recovery and Reinvestment Act (ARRA) ,Dodd-Frank Wall Street Reform and Consumer Protection Act of 2010..n.k.. (Ili kukwepa Great Reccesion)

Hivyo hivyo US inamuhitaj Rais Kariba ya Trump kwa sasa Ili kurahisisha Njia ya Kupambana na Uchumi uliozorota na Kuingiza Sera za Trump ili marekani irudi tena kama Zaman vinginevyo inakoelekea siko na only sera na Siasa za Trump ndo zitaiokoa
jmushi1 Vipi Kaka bado unamuamini Kamala atashinda Au tukuache kwanza
 
Mkuu jmushi1. unapoteza muda. Kujadiliana na hayo mabumunda, heri hata ujadiliane na meza. Mijadala ya siasa za nchi kama Marekani, inawazidi kimo. Mtu anaona sifa kuitwa chawa, utajadili nini naye? Kwa hapa Tanzania ujinga ndio mtaji wa chama tawala, CCM.

Kwa Trump Urais ni swala la kufa na kupona na ndio tumaini lake la mwisho. Anajua asipoupata Urasi amekwenda na maji. Haya mabumunda yanamsikia tu Kamala Harris aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa jimbo la California, atamgaragaza Trump asubuhi na mapema.

Sijui Trump atakimbilia sayari gani baada ya November mwaka huu...anaweza hata akaikimbia nchi akatafuta hifadhi kwa rafiki yake Putin...

YES, SHE CAN!
Mkuu; umetumia lugha kali mno kwa hadhi yako hapa jukwaani! You're a 5-star ranked jf member.
 
Unajua Tunatofautiana Kidogo sana, Mimi Namuomgelea Obama kama Obama Bila Kufanya Comparison na Trump..

Kwa sababu Ukimchukua Obama ukafanya Comparison na Trump Utamuona Obama ni Rais Bora sana Kuliko Trump on matter of everything...

Ni sawa Na kumchukua KIKWETE na kumfanyia Comparison Na Magufuli..

Ila ukimchukua Mmoja mmoja Utaona Mapungufu yao bila kufanya Comparison na mwingine..

But so Far Wote tunakubaliana Uongozi wa Trump ulikuwa Mbovu Kuliko wa Obama na wa kibaguzi pia..

Lakini kulingana na Hali ilivyo sasa, Nchi Haihitaji tena Sera za Obamalism.. ambazo Kamala Tunaona ana chembe chembe hizo za Sera hizo...
Wale ni Marais wa marekani wanaojua Kama nani ni rais Bora ni wamarekani wenyewe na Wana vigezo vyao Kama kutengeneza ajira na Mambo mengine sisi wa huku tunasema fulani ni Bora kwa kuangalia mitazamo yetu lakini wenye maamuzi ya mwisho ni wale wanaomchagua.
 
Back
Top Bottom