Watu wanafikiri Trump kachokwa [emoji3][emoji3]. Huenda hii term jamaa akashindwa kwa urahisi zaidi ya watu wanavyo fikiria
Unaweza kutaja hata kitu kimoja alichoharibu Trump?
Trump kwa takwimu ndie rais bora kuwahi kutokea Marekani. Mwezi Jue alitengeneza ajira milioni 4.8, haijawahi kutokea toka Dunia imeumbwa.
Achana na hadithi za vijiweni.
Yule data zake hazitofautiani na zile za Rais wa TZ. Ujanja ujanja tu km ule wa kuambiwa ndani ya miaka mitano tumejenga viwanda 10000 kumbe wamehesabu macherehani. HahahhahaUnaweza kutaja hata kitu kimoja alichoharibu Trump?
Trump kwa takwimu ndie rais bora kuwahi kutokea Marekani. Mwezi Jue alitengeneza ajira milioni 4.8, haijawahi kutokea toka Dunia imeumbwa.
Achana na hadithi za vijiweni.
Trump Hana msimamo huwa haamanishi anachokizungumza, na ndio maana nchi Kama Korea Kas. Na Iran wanamchezesha sebene kwa sababu wanafahamu Ni boya tofauti na Marais wengine ambao waliifanya Marekani kuheshimika na Hakuna nchi ikiyokuwa ikii undermine Marekani Kama nchi zinavyofanya sasaSleepy Joe bana atakula za Uso tu, Wamarekani wanataka mtu mwenye misimamo kama trump mana ndo wana ji feel safe and secured
Kule data zimatolewa na mamlaka za serikali, na ziko wazi na accessible na kila mtu. Sio huku kwenu mnakaanga na kupika data na mmetunga sheria hakuna kuhoji takwimu za serikali.Yule data zake hazitofautiani na zile za Rais wa TZ. Ujanja ujanja tu km ule wa kuambiwa ndani ya miaka mitano tumejenga viwanda 10000 kumbe wamehesabu macherehani. Hahahhaha
Angepata tabu kama angelikwa anatokea Republican.Italeta shida kwa kuwa Harris ni mwanamke ama ni mweusi? Huyu mama ni mwanasheria machachari sana na yuko smart upstairs, Vetting za wenzetu si za kukurupuka!
US Trevor Noah ni South African lakini anamponda Trump balaa Live bila wasiwasi.ila U.S ni U.S tu kwakweli ingekuwa Bongo eti mgombea kazaliwa na baba Muhindi na mama mJamaica angepigwa propaganda za uhamiaji hadi angekoma
Simple Biology by Gregory Mendel: Black is Dominant, White is Recessive!Mbona mnaficha uhindi wake?
Japo kimkakati inaweza kuwasaidia kupata kura za weusi na zile za wanawake, lakini nikiangalia kile ambacho alifanywa Hillary Clinton kwasababu ya jinsia yake na kile ambacho alifanywa Raisi Obama kwasababu ya rangi yake nachelea kusema kwamba huyu mama atakuwa na kipindi kigumu sana. Mfumo siyo rafiki kwa mwanamke mweusi, hivyo kama ni chuma cha pua anatakiwa awe chuma cha pua haswaa.
... kabisa! Dems wamechapwa bao la kisigino tayari.Njia nyeupe kwa Mr Trump
Hao black uliowasikia wewe,umewasikilia wapi? na idadi yao ni ipi? na wanatoka maeneo yapi ndani ya US?Unfortunately, Asilimia kubwa ya blacks "niliowasikia mimi" wamemkataa Kamala Harris.
Wanasema hakuwatendea vizuri watu weusi. Mimi naona (baada ya maoni ya watu) kwa kumchagua huyu Trump basi atapita kirahisi sana.