Kamala Harris ndiye mgombea mwenza wa Joe Biden

Kamala Harris ndiye mgombea mwenza wa Joe Biden

Yametimia, Joe Biden keshachagua mgombea mwenza. Nilikuwa nasoma sehemu kwamba Democrats walishauri achague mgombea mwenza mwanamke tena mweusi: Binafsi nilihisi labda wanatania au wameenda mbali sana lakini yametimia. Hapa inamaanisha kwamba huyu babu Joe Biden mwenye miaka zaidi ya 77 akiwa Rais na akifia madarakani basi taifa la Marekani litakuwa na Raisi mwanamke wa kwanza, tena mweusi.

Sasa kama huyu babu Biden ameshauriwa vizuri au vibaya, binafsi sifahamu. Lakini ambacho nina uhakika nacho asilimia 100% ni kwamba watu wakifikiria kwamba endapo huyu babu atashinda na bahati mbaya akafia madarakani basi Kamala Harris ndiyo atakuwa Rais wao, nadhani italeta sana shida.

Japo kimkakati inaweza kuwasaidia kupata kura za weusi na zile za wanawake, lakini nikiangalia kile ambacho alifanywa Hillary Clinton kwasababu ya jinsia yake na kile ambacho alifanywa Raisi Obama kwasababu ya rangi yake nachelea kusema kwamba huyu mama atakuwa na kipindi kigumu sana. Mfumo siyo rafiki kwa mwanamke mweusi, hivyo kama ni chuma cha pua anatakiwa awe chuma cha pua haswaa.


----

Democratic presidential candidate Joe Biden has named Senator Kamala Harris as his running mate. She is the first black woman to serve in the role.

Once a rival for the top job, the California senator of Indian-Jamaican heritage had long been considered the front-runner for the position.

The former California attorney-general has been urging police reform amid anti-racism protests.

Mr Biden will face President Donald Trump in the election on 3 November.

Vice-President Mike Pence remains the Republican incumbent's running mate.

Mr Biden tweeted that he had "the great honour" to name Ms Harris as his running mate.

He described her as "a fearless fighter for the little guy, and one of the country's finest public servants".

He noted how she had worked closely with his late son, Beau, when she was California's attorney general.

"I watched as they took on the big banks, lifted up working people, and protected women and kids from abuse," he tweeted.

"I was proud then, and I'm proud now to have her as my partner in this campaign."

Ms Harris, 55, seen as a rising star within the Democratic party, dropped out of the presidential race in December.

She repeatedly clashed with Mr Biden during the primary election debates, most notably criticising his praise for the "civil" working relationship he had with former senators who favoured racial segregation.

Who is Kamala Harris?
The Democrat was born in Oakland, California to two immigrant parents: an Indian-born mother and Jamaican-born father.

She went on to attend Howard University, one of the nation's preeminent historically black colleges and universities. She has described her time there as among the most formative experiences of her life.

Ms Harris says she's always been comfortable with her identity and simply describes herself as "an American".

In 2019, she told the Washington Post that politicians should not have to fit into compartments because of their colour or background. "My point was: I am who I am. I'm good with it. You might need to figure it out, but I'm fine with it," she said.

What is her record?
After four years at Howard, Ms Harris went on to earn her law degree at the University of California, Hastings, and began her career in the Alameda County District Attorney's Office.

She became the district attorney - the top prosecutor - for San Francisco in 2003, before being elected the first woman and the first African American to serve as California's attorney general, the top lawyer and law enforcement official in America's most populous state.

In her nearly two terms in office as attorney general, Ms Harris gained a reputation as one of the Democratic party's rising stars, using this momentum to propel her election as California's junior US senator in 2017.

She launched her candidacy for president to a crowd of more than 20,000 in Oakland at the beginning of last year.

But the senator failed to articulate a clear rationale for her campaign, and gave muddled answers to questions in key policy areas like healthcare.

She was also unable to capitalise on the clear high point of her candidacy: debate performances that showed off her prosecutorial skills, often placing Mr Biden in the line of attack.

The self-described "progressive prosecutor" tried to emphasise more left-leaning parts of her legacy - requiring body cameras for some special agents at the California Department of Justice, the first state agency to adopt them, and launching a database that provided public access to crime statistics, though she failed to gain traction.

"Kamala is a cop" became a common refrain on the campaign trail, spoiling her attempts to win over the more liberal Democratic base during the primaries. Those same law enforcement credentials could, however, prove beneficial in the general election when Democrats need to win over more moderate voters and independents.

What's the reaction?
Susan Rice, the Obama-era White House national security adviser who was also on the vice-presidential shortlist, was among the first to congratulate Ms Harris.

"Senator Harris is a tenacious and trailblazing leader who will make a great partner on the campaign trail," said the former diplomat.

"I am confident that Biden-Harris will prove to be a winning ticket."
Obama walimfanyia nini??..
 
Obama walimfanyia nini??..
Alisumbuliwa sana na "The Privileged White America" hasa wale wa upande wa pili pamoja na vyombo vyao vya habari: Binafsi naamini kuna mambo mengi mazuri angeyafanya yule mzee lakini hakufanikiwa kwasababu ya hujuma za kisiasa. Alipokea nchi ambayo tayari ilikuwa iko kwenye vita na anaingia madarakani mwaka 2008 akakaribishwa na anguko la kiuchumi: Mwisho wa siku yeye ndiye aliyelaumiwa kwa matatizo ya Marekani ambayo yalikuwepo kwa muda mrefu.
 
DNC kuna mamluki,kiuhalisia aliyekuwa na uwezo wa kupambana na Trump na kushinda ni babu Beny Sanders, wakampiga sarakasi ndani kwa ndani akapita Joe Biden, Leo tena kwenye mgombea mwenza, kulikuwa na wanawake wengi tu wenye ushawishi kwa black communities and both,ila wamewaacha wakaenda kumchagua Kamala Haris huku wakijua ana history tata kidogo na black kipindi akiwa Judge.

Jioe Biden ana historia tata kwa wanawake kama alivyo Trump, Pia kipindi akiwa mmbunge miaka ya 80s ana historia ya matamshi ya kibaguzi kwa blacks,Kikubwa kitachowatofautisha Biden naTrump kwa sasa ni sera mathubuti, ambacho hadi sasa Joe hajaonyesha serambadala kuzidi za Trump. Ila bado DNC wanakomaa nae tu,Naamini kule DNC kuna mamluki anawashauri vibaya kuhakikisha Trump ana pata upinzani dhaifu.

Toka mwezi wa 5 joe biden alikuwa akiongoza kwenye poll kwa mbali sana kitaifa na kwenye majimbo, ila mwezi huu wa nane hali imeanza kubadilika Trump anaonekana ku level ground kwenye baadhi ya majimbo na taifa.. kuna kitu kule DNC hakiko sawa
 
Maswali ya hovyo kabisa, 😀 😀
Acha kua mlamba viatu, unajipendekeza mpaka unatia kinyaa! hakuna maswali ya hovyo bali hua kuna majibu ya hovyo, nyie ndio hua mnababaika na avatar fake na ID fake, unajikuta unajipendekeza bila kushirikisha kichwa chako.
 
Hata Bush Sr aliingia kimajaribio na akavurunda kama alivyovurunda Trump ila yeye hakuvurunda kwa kiwango cha Trump kwa kuwa alikuwa na background ya kuwa boss wa CIA ila naye alikaa term moja. Siyo siri Trump ni Rais wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea kwenye historia ya Marekani.
Bush alikaa term moja ?
 
Bush alikaa term moja ?
Huna taarifa baba wa Bush unayemfahamu alikuwa Rais ? Kwa Taarifa tu Rais wa 41 wa U.S.A aliitwa George Herbert Walker Bush na alihudumu kwa awamu moja tu January 20, 1989 – January 20, 1993 akifuatiwa na Bill Clinton aliyehudumu tokea January 20, 1993 – January 20, 2001 kisha akaja Bush mtoto Rais Bush unayemjua wewe ambaye ni mwanaye ambaye alihudumu kuanzia January 20, 2001 – January 20, 2009 kisha Obama kwa term mbili na sasa kaka yako huyu kichwa maji!
 
Huna taarifa baba wa Bush unayemfahamu alikuwa Rais ? Kwa Taarifa tu Rais wa 41 wa U.S.A aliitwa George Herbert Walker Bush na alihudumu kwa awamu moja tu January 20, 1989 – January 20, 1993 akifuatiwa na Bill Clinton aliyehudumu tokea January 20, 1993 – January 20, 2001 kisha akaja Bush mtoto Rais Bush unayemjua wewe ambaye ni mwanaye ambaye alihudumu kuanzia January 20, 2001 – January 20, 2009 kisha Obama kwa term mbili na sasa kaka yako huyu kichwa maji!
Nilidhani unamaanisha Bush jr
 
Huna taarifa baba wa Bush unayemfahamu alikuwa Rais ? Kwa Taarifa tu Rais wa 41 wa U.S.A aliitwa George Herbert Walker Bush na alihudumu kwa awamu moja tu January 20, 1989 – January 20, 1993 akifuatiwa na Bill Clinton aliyehudumu tokea January 20, 1993 – January 20, 2001 kisha akaja Bush mtoto Rais Bush unayemjua wewe ambaye ni mwanaye ambaye alihudumu kuanzia January 20, 2001 – January 20, 2009 kisha Obama kwa term mbili na sasa kaka yako huyu kichwa maji!
Kaka yangu yupi ?
 
Kunijibu au kuamua kutonijibu ni uamuzi wako,ila tambua kua hoja nzuri huenda kwa fact na sio kusikia,

Have a good day.

Lakini kwenye original comment yangu nimeweka wazi "nimesikia" sikusema ndio fact haukuona?
 
Alisumbuliwa sana na "The Privileged White America" hasa wale wa upande wa pili pamoja na vyombo vyao vya habari: Binafsi naamini kuna mambo mengi mazuri angeyafanya yule mzee lakini hakufanikiwa kwasababu ya hujuma za kisiasa. Alipokea nchi ambayo tayari ilikuwa iko kwenye vita na anaingia madarakani mwaka 2008 akakaribishwa na anguko la kiuchumi: Mwisho wa siku yeye ndiye aliyelaumiwa kwa matatizo ya Marekani ambayo yalikuwepo kwa muda mrefu.
[emoji116]
JamiiForums535318426.jpg
 
Huyu Maza si alimwita Biden ni Racist? Na alikubali jamaa ni mbakaji pia? Patamu hapo.
 
Acha kua mlamba viatu,unajipendekeza mpaka unatia kinyaa! hakuna maswali ya hovyo bali hua kuna majibu ya hovyo,nyie ndio hua mnababaika na avatar fake na ID fake,unajikuta unajipendekeza bila kushirikisha kichwa chako.
Bob mbona unapanic kizembe sana 😀 😀 ,,seems uko weak sana on emotional control.Umeuliza maswali ambayo ni reseach base questions,anaweza tumia hata week kukuletea majibu,mfano kama alisoma comments mitandaoni,unataka aende kuhesabu comments zoote na hao watu wametokea maeneo gani USA??..BTW huyu niliyemjibu hapo hata simjui na wala sinaga muda mchafu wa kujipendekeza kwa watu mitandaoni,.
 
Hii inanikumbusha UKAWA walivyomchagua Lowasa kugombea Uraisi.
IMG_20200812_115524_375.JPG
 
Bob mbona unapanic kizembe sana 😀 😀 ,,seems uko weak sana on emotional control.Umeuliza maswali ambayo ni reseach base questions,anaweza tumia hata week kukuletea majibu,mfano kama alisoma comments mitandaoni,unataka aende kuhesabu comments zoote na hao watu wametokea maeneo gani USA??..BTW huyu niliyemjibu hapo hata simjui na wala sinaga muda mchafu wa kujipendekeza kwa watu mitandaoni,.
Utakua una tatizo la kukurupuka au kudandia vitu bila kua na ujuzi nao,
Get well soon.
 
Back
Top Bottom