Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Aug 13, 2020 #81 Hakimu Mfawidhi said: Unaweza kutaja hata kitu kimoja alichoharibu Trump? Trump kwa takwimu ndie rais bora kuwahi kutokea Marekani. Mwezi Jue alitengeneza ajira milioni 4.8, haijawahi kutokea toka Dunia imeumbwa. Achana na hadithi za vijiweni. Click to expand... Watu si walisimamishwa kazi kwasababu ya Corona?
Hakimu Mfawidhi said: Unaweza kutaja hata kitu kimoja alichoharibu Trump? Trump kwa takwimu ndie rais bora kuwahi kutokea Marekani. Mwezi Jue alitengeneza ajira milioni 4.8, haijawahi kutokea toka Dunia imeumbwa. Achana na hadithi za vijiweni. Click to expand... Watu si walisimamishwa kazi kwasababu ya Corona?
The Assassin JF-Expert Member Joined Oct 30, 2018 Posts 4,942 Reaction score 20,077 Sep 6, 2020 #82 Bavaria said: Watu si walisimamishwa kazi kwasababu ya Corona? Click to expand... Waliposimamishwa kazi Trump alilaumiwa, wanaporudi asifiwe au apongezwe.
Bavaria said: Watu si walisimamishwa kazi kwasababu ya Corona? Click to expand... Waliposimamishwa kazi Trump alilaumiwa, wanaporudi asifiwe au apongezwe.