Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kote tu propaganda inategemea ni upande gani hakuna msafi hasa kwa hii ishu ya sasa we chagua tu kuburudika na upande gani ila hakuna asievutia ngozi kwake....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]we jamaa hivi ulishawahi kuona propaganda media zinaenda opp na siri-kali , chukulia mfano mzuri TBCCM
Hahahaha Yani Marekani ahangaike na propaganda uchwara kama hizo za Photoshop.Taifa kama Marekani wanahangaika kutengeneza na kueneza photoshop in uzuzu was kiwango cha juu sana
Hata mwanangu 9 yrs anasema editedHahahaha Yani Marekani ahangaike na propaganda uchwara kama hizo za Photoshop.
Video hii hapa,sema nayo imeeditiwa
Basi tulia akakamuliwe kwanzaHata mwanangu 9 yrs anasema edited
Endelea kuchukua habari YouTube nonsenseBasi tulia akakamuliwe kwanza
Angalia usje wehuka kwa stress mkuu,Hata mwanangu 9 yrs anasema edited
We kashasikia kulia kwake HIMARS hiyo na Kushoto Javelin......kaona ajisalimishe apate Kuishi Sababu Putin anawatumia mpaka Kufa hakuna Kurudi NyumbaniHuyo ni Lieutenant General cheo cha juu sana cha Kijeshi aisee..
Kwanza hawa Russia hata siwaelewi ilikuwaje mpaka lieutenant General akadakwa aisee.
Inashangaza sana majenerali wanadakwa kama kuku. Putin apeleke makamanda wake Monduli Military Academy wakafundishwe basic skills za field.Hii ni aibu sana kwa taifa lililojinasibu kwa miaka mingi kwamba ni super pawer [emoji848]
Pumbavu sana hao. Waende Chuo cha Jeshi Monduli wakapate basic skills.Huyo ni Lieutenant General cheo cha juu sana cha Kijeshi aisee..
Kwanza hawa Russia hata siwaelewi ilikuwaje mpaka lieutenant General akadakwa aisee.
Jeshi la Ukraine is among the best! Quality vs quantity imedhihirika kwenye hii vita.Ukraine wamedaka high value target safi sana sio kudaka vi coplo na vi private na vi sergeant!!!
Ukraine wako kichwani
Miguvu bila akiliHuyo ni Lieutenant General cheo cha juu sana cha Kijeshi aisee..
Kwanza hawa Russia hata siwaelewi ilikuwaje mpaka lieutenant General akadakwa aisee.
Watakuambia lieutenant generals wanao wengi sana so mmoja kudakwa isn't a big deal to them. Ha ha ha!Huyo ni Lieutenant General cheo cha juu sana cha Kijeshi aisee..
Kwanza hawa Russia hata siwaelewi ilikuwaje mpaka lieutenant General akadakwa aisee.
Kuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhaiππππππππHahahaha Yani Marekani ahangaike na propaganda uchwara kama hizo za Photoshop.
Video hii hapa,sema nayo imeeditiwa