Kamanda anayeongoza vita dhidi ya Ukraine akamatwa, amechezea kichapo

Kamanda anayeongoza vita dhidi ya Ukraine akamatwa, amechezea kichapo

Kuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhai๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Tuwaamini waliofungia vyombo vya habari au? Kwamba ili habari itoke lazima impendeze mtawala? Dunia ilishatoka huko siku nyingi sana.
 
Kuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhai๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Nani kakudanganya hawakufika mwezini?? Au nyie ndo mnaoamini dunia ni flat
 
Tuwaamini waliofungia vyombo vya habari au? Kwamba ili habari itoke lazima impendeze mtawala? Dunia ilishatoka huko siku nyingi sana.
Naona vile vya urusi mlivipa airtime.......mliogopa nini kuvipiga ban nyie si mnasimamia uwazi???
 
Kabla ya hii habari 100% hatukua tunamjua jamaa anayedaiwa kutekwa... Uthibitisho wake iletwe videos zake kabla na kutekwa na baada.

Binafsi naona hii vita ina kausanii flani... Kuna ajenda nyuma ya hiyo vita. Vinginevyo ilikua kupress button 1 tu na vita inakomea hapo.

Nitakua wa mwisho kuamini, Russia imeteka miji kadhaa, Russia imeishiwa wanajeshi, Majeshi ya Ukraine yasogezwa nyuma, Ukraine wateka wanajeshi wa Russia. N.K.
Nasubiri nione mwisho
 
Putin alizionya nchi za NATO kutompa Ukraine silaha za masafa marefu, lakini Marekani ikakaidi na imepeleka mizinga kibao yenye uwezo wa kupiga ndani ya Urusi na Putin hajafanya lolote.

Putin alionya kuwa ''atakayempatia Ukraine silaha za masafa marefu atakiona cha mtema kuni.''
 
Putin alizionya nchi za NATO kutompa Ukraine silaha za masafa marefu, lakini Marekani ikakaidi na imepeleka mizinga kibao yenye uwezo wa kupiga ndani ya Urusi na Putin hajafanya lolote.

Putin alionya kuwa ''atakayempatia Ukraine silaha za masafa marefu atakiona cha mtema kuni.''
Umesahau yule wazir wa Iraq kipindi cha sadam Hussein
 
Upumbavu na ujinga mtupu watapigana then watapatana huku familia za waleta vita zikiwa salama maelf wasio na hatia ndo wanakufa
kwan wamevamiana au mmoja kavamia mwingine , weka kauli vzr
 
Kuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhai[emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233]
kila kitu unapinga bila ushahidi , kuandika vitu vingine ni kuonesha uzuz wako , sometimes ukimya ni jibu bora , mwezin hupajui hata scenario unazotumia kuwapinga ni zao pia hlf unajiona timamu
 
Back
Top Bottom