Tuwaamini waliofungia vyombo vya habari au? Kwamba ili habari itoke lazima impendeze mtawala? Dunia ilishatoka huko siku nyingi sana.Kuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhaiππππππππ
Nani kakudanganya hawakufika mwezini?? Au nyie ndo mnaoamini dunia ni flatKuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhaiππππππππ
We nae pia unaamini..........simamieni demokrasia yenu kila mtu aone mambo kwa namna yake....Nani kakudanganya hawakufika mwezini?? Au nyie ndo mnaoamini dunia ni flat
Naona vile vya urusi mlivipa airtime.......mliogopa nini kuvipiga ban nyie si mnasimamia uwazi???Tuwaamini waliofungia vyombo vya habari au? Kwamba ili habari itoke lazima impendeze mtawala? Dunia ilishatoka huko siku nyingi sana.
Kama hujui kusoma na picha hujui kutazama?Weka source.
Pale Tanzania Military Academy (TMA)Inashangaza sana majenerali wanadakwa kama kuku. Putin apeleke makamanda wake Monduli Military Academy wakafundishwe basic skills za field.
Nyambafu kwani mbona unadharau hao wengine kwani hujui bila wadogo mambo hayaendi?Ukraine wamedaka high value target safi sana sio kudaka vi coplo na vi private na vi sergeant!!!
Ukraine wako kichwani
Umesahau yule wazir wa Iraq kipindi cha sadam HusseinPutin alizionya nchi za NATO kutompa Ukraine silaha za masafa marefu, lakini Marekani ikakaidi na imepeleka mizinga kibao yenye uwezo wa kupiga ndani ya Urusi na Putin hajafanya lolote.
Putin alionya kuwa ''atakayempatia Ukraine silaha za masafa marefu atakiona cha mtema kuni.''
Jeshi la Ukraine is among the best! Quality vs quantity imedhihirika kwenye hii vita.
( RT = TBC ) < NTV kenyaKama sio RT tuuupa kule
kaanza kurithi upuuz wa mzazHata mwanangu 9 yrs anasema edited
vitu vingine ni kuonesha upuuz wak kichwan , unaipinga Youtube halaf unategemea habari wapi kwingine ?Endelea kuchukua habari YouTube nonsense
kwan wamevamiana au mmoja kavamia mwingine , weka kauli vzrUpumbavu na ujinga mtupu watapigana then watapatana huku familia za waleta vita zikiwa salama maelf wasio na hatia ndo wanakufa
Upumbavu wa mmoja asiyetumiwakwan wamevamiana au mmoja kavamia mwingine , weka kauli vzr
kila kitu unapinga bila ushahidi , kuandika vitu vingine ni kuonesha uzuz wako , sometimes ukimya ni jibu bora , mwezin hupajui hata scenario unazotumia kuwapinga ni zao pia hlf unajiona timamuKuwaamini watu ambao wanamiliki Hollywood kazi sana..... kama waliweza yale maruweruwe ya kudanganya watu kua wamepeleka binadamu wa kwanza mwezini ,kazi kama hizi mbona simpo sana hasa kwa propaganda za kifo na uhai[emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233][emoji233]