Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.
Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchunguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake!, this means if they both would have perished in that event, ingekuwa case closed!.
Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi hawakuwa na haraka kufuatia eneo hilo kuwa ni secured area, hivyo walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata na mlio wa risasi uliosikika!.
Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo yeke ili kumpa nafasi ya kutosha shahidi huyo pekee, kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani ? Hadi kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details!.
Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu kivile na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.
Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio la shambulio lile uanze!.
To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums
Hivyo Kamanda Tundu Lissu, "East, West, home is best" , karibu sana nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya IGP Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi na usalama wako, Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni mlinzi mzuri kuliko vijana wa Siro!.
Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates and proof ya theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako, yalikuwa ni malengo fulani ambayo hayakutimia, hivyo unawasiwasi ukirejea, watakamilisha, nakuhakikishia kuwa hata ukirejea sasa bila hakikisho la IGP Sirro, wale wasiojulikana wako, hawawezi tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni za only one try, iki fail, ndio basi tena, ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena and by now watakuwa wanashughulikiwa na kitu kinachoitwa karma, mmoja baada ya mwingine!.
Hitimisho
Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP Sirro kuhusu kumhakikishia ulinzi na usalama wake, kwasababu kwanza just his survival tuu alone, muujiza beyond human beings ability and capabilities, it's a miracle from The Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai mpaka leo, Yupo!, Aliyemsimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo!, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Mwenye Uweza, awezaye yote! Namhakikishia Lissu arejee tuu nyumbani, issues za ulinzi wake na usalama wake, amwachie yule YEYE Awezaye yote!, Ataendelea kumlinda. Na usikute yote hayo Lissu aliyopitia na anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake kwa watu wa mataifa, na hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"
Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)
Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.
Nimesoma mahali kuhusu Kamanda Tundu Lissu kuandika barua mbili kwa IGP kuomba kuhakikishiwa usalama wake ndipo arejee nyumbani Tanzania.
Mkuu Joka Kuu, asante kwa taarifa hii ya Lissu kuandika barua kwa IGP, kuhakikishiwa ulinzi na usalama wake kwanza ndipo arejee home, nyumbani Tanzania...Nimesikiliza mahojiano kati ya Mh.Tundu Lissu na kituo cha habari cha Clouds.
..Watangazaji walimuuliza Tundu Lissu atarejea lini, na jibu alilowapa ni kwamba anasubiri IGP Sirro amkubalie maombi yake ya kupewa ulinzi mara atakaporejea nchini.
..Na Mh.Lissu amedai kwamba IGP ameandikiwa barua mbili kuhusu suala hilo lakini hajajibu hata moja.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Mag3, Erythrocyte , Richard, Stuxnet , tindo, Salary Slip , Mzee Mwanakijiji
Hatua hii ni nzuri na muhimu sana ili angalau Lissu na dereva wake warejee nyumbani ili sasa ndio vyombo vyetu vya uchunguzi vianze kazi uchunguzi ya kuwabaini wasiojulikana, waliomshambulia Lissu, maana tangu ameshambuliwa vyombo vya uchunguzi vilishindwa kufanya uchunguzi wowote hadi wamhoji Lissu na dereva wake!, this means if they both would have perished in that event, ingekuwa case closed!.
Jeshi letu la polisi ni jeshi lenye utu sana, baada tuu ya shambulio, polisi waliarifiwa within minutes, na kutoka eneo la tukio na kituo cha polisi ni just 10 minutes drive kutoka kituo cha polisi hadi kwenye crime scene, lakini polisi hawakuwa na haraka kufuatia eneo hilo kuwa ni secured area, hivyo walifika baada ya masaa 2, wakakuta Lissu ameisha kimbizwa Dodoma hospital na hawakukuta mtu mwingine yoyote aliyeshuhudia, wala hakuna hata na mlio wa risasi uliosikika!.
Licha ya shahidi muhimu wa tukio hilo, dereva wa Lissu kutojeruhiwa na alikuwa available siku nzima, ila polisi wetu walingia utu na ubinaadamu wa kutochukua maelezo yeke ili kumpa nafasi ya kutosha shahidi huyo pekee, kupumzika na kupumzisha mawazo, watamchukia maelezo wakati wowote kwani maelezo yana haraka gani ? Hadi kuchukuliwa mapema huku watu wana photographic memory hata baada ya miaka 3, watakumbuka every details hata tiny details!.
Lissu na dereva wake walipokuwa Nairobi ambapo ni karibu, jeshi letu la polisi liliingia utu wa kutowahoji ili kusubiria wapone. Walipokwenda Belgium kufuatia kule ni ulaya, na rais Magufuli hapendi safari zisizo za muhimu, kwa vile uchunguzi huo sio muhimu kivile na hauna haraka, jeshi letu la polisi lilingia tena huruma kuwaacha hadi wapone na kurejea nyumbani Tanzania ndipo liwahoji na uchunguzi ndipo uanze.
Hivyo sasa wanasubiriwa kwa hamu Tundu Lissu na dereva wake warejee nyumbani nchini Tanzania ndipo uchunguzi wa tukio la shambulio lile uanze!.
To be honest, baada ya mimi kuangalia ile hard talk ya BBC, nilisema hivi
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! - JamiiForums
Hivyo Kamanda Tundu Lissu, "East, West, home is best" , karibu sana nyumbani, huna haja ya kusubiri majibu ya IGP Kamanda Sirro kukuhakikishia ulinzi na usalama wako, Yule YEYE aliyekulinda na kukuepusha na kifo licha ya kupigwa risasi 16, ni mlinzi mzuri kuliko vijana wa Siro!.
Kuhusu wale wasiojulikana waliokushambulia, according to postulates and proof ya theories mbalimbali kuwahusu wasiojulikana hao, japo malengo yao kwako, yalikuwa ni malengo fulani ambayo hayakutimia, hivyo unawasiwasi ukirejea, watakamilisha, nakuhakikishia kuwa hata ukirejea sasa bila hakikisho la IGP Sirro, wale wasiojulikana wako, hawawezi tena kuikamilisha ile kazi kwasababu kazi nyingine ni za only one try, iki fail, ndio basi tena, ni kama uchawi, mchawi ukiisha mshtukia, hakulogi tena and by now watakuwa wanashughulikiwa na kitu kinachoitwa karma, mmoja baada ya mwingine!.
Hitimisho
Kwa maoni yangu, namshauri Kamanda Tundu Lissu, kama ni kurejea tuu nyumbani, arejee tu nyumbani Tanzania wala asisubiri jibu la barua zake kwa IGP Sirro kuhusu kumhakikishia ulinzi na usalama wake, kwasababu kwanza just his survival tuu alone, muujiza beyond human beings ability and capabilities, it's a miracle from The Devine intervention hivyo Aliyemlinda na shambulio lile baya la kutisha na kusikitisha hadi kubakia hai mpaka leo, Yupo!, Aliyemsimamia matibabu akatibiwa hadi akapona Yupo!, Aliyeyafanya yote hayo ni YEYE Mwenye Uweza, awezaye yote! Namhakikishia Lissu arejee tuu nyumbani, issues za ulinzi wake na usalama wake, amwachie yule YEYE Awezaye yote!, Ataendelea kumlinda. Na usikute yote hayo Lissu aliyopitia na anayopitia, ni mapito tuu ili YEYE kuonyesha Uweza Wake kwa watu wa mataifa, na hata katika ukombozi wa Ulimwengu huu, ni kwa Kupigwa Kwake, sisi tuliponywa, hivyo at this juncture, Tundu Lissu hatakiwi tena kuendelea kutegemea uwezo wa binaadam katika ulinzi wa uhai na usalama wake, amtegemee YEYE. Tundu Lissu Atamke maneno haya, "NAYAWEZA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU"
Welcome Back Home, Kamanda Mdogo wangu Lissu (mimi ni kaka yake kule shuleni Ilboru)
Mwacheni Mungu Atwe Mungu
Welcome back home Kaka Mdogo Tundu Lissu.
Mimi Kaka yako Mkubwa
Karibu Nyumbani.
Paskali.