Kamanda Mambosasa: Ni marufuku kufanya maandamano au Jogging siku za Ibada Jumapili, Jumamosi na Ijumaa!

Kamanda Mambosasa: Ni marufuku kufanya maandamano au Jogging siku za Ibada Jumapili, Jumamosi na Ijumaa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.

Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.

Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
 
Mmmmh naona kama Mambosasa kateleza kwenye hili! Michezo ni Afya na juzi Waziri wa Afya amesisitiza kufanya mazoezi maranyingi kadri tuwezavyo ili mapafu yaweze kutanuka na kuhimili kuwa na hewa ya kuyosha mwilini.

Huyu Kamanda anajitokeza anasiliba anyway naaamin labda habari siyo za kweli hizi
 
Hawa nao sasa wamezidi kukurupuka, yaani watu wasifanye mazoez sababu ni hiyo tu?

Au ndo namna yao ya kuzuia mikisanyiko?

Aaagh sasa wanatuchanganya,mwingine pigeni,mwingine msipige siku za ibada,mkuu fanyeni kazi sasa wanataka tufanyeje?!!!!!
 
Wajuba muwe mnaelewa, hapo lengo ni kuzuia mikusanyiko coz la depotivo uko around.

swali: Watanzania walio wengi ni wafanyakazi na siku za weekend ndo wako mapumziko na ndo muda wa kufanya mazoezi unawazuiaje?

Muwe mnaelewa...
 
wajuba muwe mnaelewa, hapo lengo ni kuzuia mikusanyiko coz la depotivo uko around.
swali: je watanzania walio wengi ni wafanyakazi na siku za weekend ndo wako mapumziko na ndo muda wa kufanya mazoezi unawazuiaje?

muwe mnaelewa...
Kuzuia Mikusanyiko ipi tena, umesahau Tz sisi tunafunikwa na damu ya yesu CORONA inatuogopa.
 
Hawa nao sasa wamezidi kukurupuka,yaani watu wasifanye mazoez sababu ni hiyo tu?!!
Au ndo namna yao ya kuzuia mikisanyiko?!!
Aaagh sasa wanatuchanganya,mwingine pigeni,mwingine msipige siku za ibada,mkuu fanyeni kazi sasa wanataka tufanyeje?!!!!!
Mfanye mazoezi ya mtu mmja mmja mzee

Ova
 
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.

Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.

Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
Vp mazoezi ya mtu mmoja mmoja

Ova
 
Back
Top Bottom