USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mimi nafanya mazoezi kazini haya yenu wa tafuta mademu kwa joggingUshambiwa no jogging ijumaa,sabato,jpili
Mzeee kwa hiyo kama mnakikundi chenu habari ndiyo hiyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nafanya mazoezi kazini haya yenu wa tafuta mademu kwa joggingUshambiwa no jogging ijumaa,sabato,jpili
Mzeee kwa hiyo kama mnakikundi chenu habari ndiyo hiyo
Ova
Ni muda sasa wa hii fani iwe post ya moja kwa moja aidha olevel au advanced level luepusha waliofeli kuwa changuo pendwa kwao manake nlitegemea jogging ihamasishwe kwa maslai mapana ya covid,vitambi na kisukari ila sasa badala yake😂😂😂😂😂Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.
Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.
Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Hayo hayajakatazwa bwashee!Vp mazoezi ya mtu mmoja mmoja
Ova
1. Viongozi wa makanisa wamesema sasa basi wamechoka kuzika.
2. Baadhi za hospital ziko overloaded na wagonjwa wa pumu hadi wanawekwepa wagojwa kiaina maana hizo pumu zinaonekana walikua nazo tangu utotoni.
3 . Mazoezi kwa makundi yanapigwa marufuku.
Akaaa yamekua hayo tena mara hii? Zimekua siyo siku za mpumziko tena ni za ibada?Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.
Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.
Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
Huko tunafata kuangalia misambwanda tu [emoji23][emoji23]Mm nafanya mazoezi kazini haya yenu wa tafuta mademu kwa jogging
Kundi linaanzia watu wangapi?Hawajakataza mazoezi imekatazwa kua kundi wakati wa mazoezi.
Ukisikia mtu anaitwa Profesa Tanzania ujue ni wale waliosoma mpaka wakawa wajinga kabisa.Japo Mambosasa huwa na mambo yake ya ajabu ajabu, ila hii itakuwa Corona tu.
Halafu kuna kichaa mmoja nimemsoma somewhere anasema Tanzania hakuna Corona.
kwanini iwe ni sisi tu ndo tunafunikwa na damu ya Yesu?Kuzuia Mikusanyiko ipi tena, umesahau Tz sisi tunafunikwa na damu ya yesu CORONA inatuogopa.
Sisi waislamu siku zote ni za ibada