Kamanda Mambosasa: Ni marufuku kufanya maandamano au Jogging siku za Ibada Jumapili, Jumamosi na Ijumaa!

Kamanda Mambosasa: Ni marufuku kufanya maandamano au Jogging siku za Ibada Jumapili, Jumamosi na Ijumaa!

Elimu bure siku hizi, jikomboe japo na MEMKWA we jimama.
kwanini? kisa swahili unataka uandikie ya kabila wako? sihitaji elimu bure.. nilifauru ngazi hizwo vizuri sana.. wewe kauze kitambulisho ya 20K vipo
 
Japo Mambosasa huwa na mambo yake ya ajabu ajabu, ila hii itakuwa Corona tu.

Halafu kuna kichaa mmoja nimemsoma somewhere anasema Tanzania hakuna Corona.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya anaiita homa kali ya mapafu, uzuri wa hii unaweza ukawa unatembea huku ukiwa umereudisha namba, siyo ile yakurudishia kitandani.
 
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.

Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.

Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
Alitaja mipaka, au ni mpaka Mzee au Mboga kule Msoga?
 
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam mh Mambosasa amesema kuanzia sasa ni marufuku watu kufanya maandamano na mbio za polepole ( jogging) siku za ibada yaani Jumapili, Jumamosi na Ijumaa na kwamba jeshi la polisi halitatoa vibali katika siku hizo.

Mambosasa amesema kuandamana siku za ibada ni kuwaletea usumbufu waumini wanaokwenda ibadani.

Agizo hilo limetoka makao makuu ya jeshi la polisi amesisitiza kamanda Mambosasa.

Source TBC

Maendeleo hayana vyama!
Ngoja boss wake aje ampinge naona ameshakula kushiba
 
Hatari.
Screenshot_20210203-162920.jpg
 
So in short no mazoezi

nani unakimbia jumatatu😅
 
Basi corona itatushinda kama ndo hivyo mtu na akili zake anazuia mazoez kitu ambacho angeweza kuweka utaratibu kwa namna gani zifanyike bila kuathir ibada

Very simple

Anyway tumeipenda wenyewe


Mitano tena na nyongeza
 
Kwa sasa naogopa kukoment issue inayohusu corona maana nitakula burn 😁😷!!
 
Uku visiwani hatuna tabu..
Kamanda safi Sana nyosha hawo wanyaturu wanava vinguo vya kubana nakukimbia kutarisha ndoa na kuchochea zinaa siku za ibada
 
Nasikia hapa kutoka kwenye radio wasaf fm kuhusu hili suala IGP amesema jogging Kama kawa mpaka jumapili
 
Mm walikuwa wananiudhi kwel kwel kufanya mazoezi barabaran mara magari yatembee mwendo mdogo mdogo kisa jogging hv viwanja vya michezo hawavion au ??safi sana wakafanyie viwanjan mazoez yao au gym au beach
 
Back
Top Bottom