Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
He is a barbarian entrusted by authority to terrorize people. He has never acted wisely at any time.Huyu siwezi kumuamini hata kidogo.
Kwenye hiyo kesi,wanaolengwa hapo ni Mdee na Bulaya, ila haya mambo mwisho wake ni kuwafanya viongozi wa upinzani na wafuasi wao kwa ujumla kuzoe Jela na hali hii ikitimia,basi tujiandae kwa maandamano na ghasia za kisiasa haya yakiwa ni matokeo ya watu kutoogopa jela na zaidi kuwa desperate hivyo kujiona hawana cha kupoteza kukaa/kwenda jela.