Kusema hivyo simaanimishi mimi ni mwema kukuzidi wewe. Najaribu kujiweka katika hali yake, ningekuwa mimi ningefanyaje! Na yeye ni mtu anaweza ku'feel' good or bad. Mumesema hafai kwa sababu ameongoza muda mrefu, na ni kweli, na pia 'amelamba asali' (kwa hili sina ushahidi). Sasa ameamua kufanya 'retreat'. Sasa mnamtaka tena wa nini? Na huyo Dk anayesema ashauriwe kupokea simu kila siku anamrushia madongo, leo ndiyo awe na ujumbe wa kumshauri kunusuru chama? Sasa hivi ni wakati wa 'anyrhing can go'.
eti doctor,Chawa wa mbowe mnafahamika na ipo mpaka miccm
Gentleman,
mzee Lwaitama hajawahi kua na simu ya maana kwa chairman, huwa ni mizinga pesa kwa kauli ya kukopeshwa tu,
anasumbua sana huyo mzee, aache uvivu na wivu
Kusema hivyo simaanimishi mimi ni mwema kukuzidi wewe. Najaribu kujiweka katika hali yake, ningekuwa mimi ningefanyaje! Na yeye ni mtu anaweza ku'feel' good or bad. Mumesema hafai kwa sababu ameongoza muda mrefu, na ni kweli, na pia 'amelamba asali' (kwa hili sina ushahidi). Sasa ameamua kufanya 'retreat'. Sasa mnamtaka tena wa nini? Na huyo Dk anayesema ashauriwe kupokea simu kila siku anamrushia madongo, leo ndiyo awe na ujumbe wa kumshauri kunusuru chama? Sasa hivi ni wakati wa 'anyrhing can go'.
Ningependa ashiriki, lakini kwa hali waliyofikia sina hakika kama utakuwa na afya kwa chama chao. Kwa maoni yangu, pamoja na kwamba ningependa ashiriki, deep down in my heart, naona kama unaweza kuongeza ufa zaidi katika mgawanyiko ambao umeshajitokeza katika chama chao. In the circumstances, ni yeye mwenyewe kuamua afanye nini kuliko kushauriwa ashiriki au asishiriki.Ungependelea asitokee mdahalo aka aingie mitini?
Ningependa ashiriki, lakini kwa hali waliyofikia sina hakika kama utakuwa na afya kwa chama chao. Kwa maoni yangu, pamoja na kwamba ningependa ashiriki, deep down in my heart, naona kama unaweza kuongeza ufa zaidi katika mgawanyiko ambao umeshajitokeza katika chama chao. In the circumstances, ni yeye mwenyewe kulima kuliko kushauriwa ashiriki au asishiriki.
Mbowe ni mtulivu wa uongozi siyo yule domo kayaYasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Akipigiwa anaandika "please text "Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Mbowe ni mtulivu wa uongozi siyo yule domo kaya