Kamanda Mbowe ashauriwe kupokea simu, nyingi ya hizo zina jumbe zake muhimu kwa mustakabala mwema wa chama!

Kamanda Mbowe ashauriwe kupokea simu, nyingi ya hizo zina jumbe zake muhimu kwa mustakabala mwema wa chama!

Wala hatuondoki humu, tutabaki dormant tu mpaka siku tumfundishe adabu huyo fisadi wenu akikosa support ya sisi wanachama na campaign zikawa failure basi atajiuzuru tu ma chama tutakurudisha kwa wapinzani halisi.

Kwahiyo HATUHAMI nyie ndio mtakimbia na huyo Mugabe wenu
Hahaha mtahama tu, ngoja Lisu wenu ashindwe kisha awaamulie muende wapi, maana hamuwezi kufanya maamuzi bila kuambiwa na Lisu.

Mbowe atabaki na CDM nyie mtaenda kutangatanga huko, mpaka Lisu akipata pa kwenda, nanyi mtamfuata mkafanye fujo, kelele, na mihemko yenu huko.

Mbowe alikuwa chadema bila nyie, na ataendelea kuwa chadema mkiondoka.

Hawezi kujiuzuru, kwasababu wapiga kelele mmeondoka au mmekaa kimya, au kampaign zime fail, CCM inashinda kila uchaguzi, sasa nini kitakuwa kipya?

Nyie wajuaji na wenye mihemko, kaanzisheni chama chenu mkapige kelele huko mshinde.

Nasikia mnatamani kujiunga na mzee wa ubwabwa, kwanini mkamtese mzee wa watu na fujo zenu, msajiri chama chenu, Lisu awe mwenyekiti wa kudumu.
 
View attachment 3188307

Kwanini nyie msiende kusajiri vyenu?
Sisi tunayo CDM, nyie wajuaji ndio mnatamani visivyo vyenu.

Mnaye wakili msomi mtaalamu wa katiba, wanachama wa TLS wako nyuma yenu.

Undeni katiba yenu, wanachama mnao wa kutosha, nendeni kwa msajiri wa vyama vya siasa mkasajiri chama chenu, mkapigizane kelele huko na mihemko yenu.
 
Nafikiri Kuna watu' wanakuza hii kitu...... Nauona mwisho mbaya wa hiki chama

Nakiona kikiibuka chama kingine either ndani yao au chama kingine Cha siasa kupata nguvu zaidi


Pia nakiona chama kilichopo madarakani kutumia udhaifu wao mdogo na migogoro iliyopo kuendeleza harakati zao...



Ni mtazamo wangu kwa ninachokiona...


Usiku mwema wadau
Upo sahihi mkuu
 
Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.

Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:

View attachment 3188043

Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.

Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"

Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Dalili nzuri sana hii kwa ushindi wa Lissu straight forward, nawahurumia waganga njaa na chawa zake wataishije?
 
Sisi tunayo CDM, nyie wajuaji ndio mnatamani visivyo vyenu.

Mnaye wakili msomi mtaalamu wa katiba, wanachama wa TLS wako nyuma yenu.

Undeni katiba yenu, wanachama mnao wa kutosha, nendeni kwa msajiri wa vyama vya siasa mkasajiri chama chenu, mkapigizane kelele huko na mihemko yenu.

CDM ipi mliyo nayo nyie?

GfJHa73XEAAaMcf.jpeg


Ngoja tuone.
 
Hahaha sisi hatujali kuwa na wanachama au mashabiki wawili.
Maana ni bora wawili wastaarabu kuliko, kuwa na wengi kama nyie wapiga kelele na mihemko.

Chama ni watu ndugu:

GflRcI0WsAAt-yv.jpeg
 
Tuletee hao waliouwawa tuwape card za uanachama.

Nanyi kufeni tuthibitishe maneno yenu. Wenye fujo na wasio na staha hatuwahitaji CDM.

Bila shaka yenu hajafa mtu wala kupotea.

Kwa hakika abduli ni mwenzenu!
 
hiyo ni biashara yake huwezi mshauri kitu anajua anachokifanya
anzisheni chadema yenu kama mnaona ni rahisi
 
Mbowe kafuja pesa nyingi ya chama anaogopa kuingiza uongozi mpya akihofia msala wa ufisadi
 
Back
Top Bottom