Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri Kuna watu' wanakuza hii kitu...... Nauona mwisho mbaya wa hiki chama
Nakiona kikiibuka chama kingine either ndani yao au chama kingine Cha siasa kupata nguvu zaidi
Pia nakiona chama kilichopo madarakani kutumia udhaifu wao mdogo na migogoro iliyopo kuendeleza harakati zao...
Ni mtazamo wangu kwa ninachokiona...
Usiku mwema wadau
Labda yuko chimbo Lumumba anasomea mbinu mpyaYasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Atajitokeza mdahaloni.Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
ivi kwl ss watanzania tunashda mtu kaamua kuchukuwa form mwenyw wee unataka kumshaur nn? Propaganda za kishamba yetu macho kweny uchaguz ukifka tujue mbivu na mbichi
Atajitokeza mdahaloni.
Asipofanya hivyo, ndp basi tena
Kuna mchezo mchafu snMbowe huchukua pesa ya chadema kisha kuwakopesha chadema kisha kusema ni pesa zake binafsi kakikopesha chama na kuanza kukata Deni utazani ni pesa zake kweli kumbe anawafanyia wizi ni vigumu wajue kwani idara ya fedha yupo mwenyewe hataki mtu kusogea kabsa
Aone aibu akae pembeni kama ana nia njema kweli na CHADEMATaabu ni kuwa akijitokeza ana kipi kipya?
View attachment 3188318
Siyo siri, takuwa anapitia wakati mgumu sana!
Nimeanza kupiga kura tangu 1995 nikiwa sekondari tena hata kabla umri haujatimia, sema NCCR walikuwa watoto wa mjini kabla ya CCM, wakatupigisha kura wanafunzi na wakashinda ubunge. Nimeandikisha wapiga kura kwenye BVR 2015 na 2020, nimekuwa msimamizi msaidizi wa kituo cha kura 2015 na nimekuwa msimamizi mkuu wa kituo cha kura 2020.
Hao wanaobadilisha mawazo ni wapiga kura wa mtaani au wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi?
Vita ya panzi furaha ya kunguruNafikiri Kuna watu' wanakuza hii kitu...... Nauona mwisho mbaya wa hiki chama
Nakiona kikiibuka chama kingine either ndani yao au chama kingine Cha siasa kupata nguvu zaidi
Pia nakiona chama kilichopo madarakani kutumia udhaifu wao mdogo na migogoro iliyopo kuendeleza harakati zao...
Ni mtazamo wangu kwa ninachokiona...
Usiku mwema wadau
Mwamba ana uchu uliopitiliza.Taabu ni kuwa akijitokeza ana kipi kipya?
View attachment 3188318
Siyo siri, takuwa anapitia wakati mgumu sana!
Kibaraka anapata kiwewe au mawenge gentleman?🐒
naskia anapiga vizinga mno saivi hadi wajumbe 🤣
pwagu na pwaguzi wanapeana matumaini hewa 🤣Aone aibu akae pembeni kama ana nia njema kweli na CHADEMA
Gentleman,Kwani unadhani tatizo ni nani anapigiwa kura?
Tatizo anachaguliwa kiongozi wa wajumbe au wanachama.
View attachment 3188319
Kwani hujui hapo wajumbe walimchagua nani?
Vita ya panzi furaha ya kunguru
Watajuana wenyewe kikubwa CCM mbele kwa mbele Samia 5 tenaUjinga wa panzi mmoja kwenye hivi very stupid war, furaha ya kunguru; ingependeza zaidi.
View attachment 3188322
Kwani mwamba hajui nani anafaa zaidi hapa, au wengi wanamtaka nani?
Vita ya panzi furaha ya kunguru