Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Kiongozi unapofanya mambo ya kujiaibisha lazima udharaulike tu, hakuna namna.Utoto! Mbona tunakosa nidhamu kiasi hiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi unapofanya mambo ya kujiaibisha lazima udharaulike tu, hakuna namna.Utoto! Mbona tunakosa nidhamu kiasi hiki?
Katiba inamruhusu kugombea mnataka ushindi wa mezani ?Kiongozi unapofanya mambo ya kujiaibisha lazima udharaulike tu, hakuna namna.
Sasa hivi Mbowe anatumia mbinu za CCM...lazima ashinde uchaguzi hata asipofanya mdahalo🐼
The oppositeMbowe kakosa nidhamu sana na utoto anao mbowe
Mtangazaji kafanya utoto! Mbowe yupo sahihi kutopokea simuKiongozi unapofanya mambo ya kujiaibisha lazima udharaulike tu, hakuna namna.
Acha UZUZU, anapaswa kutumia busara na kupumzika kwa heshima. Atapata wapi ujasiri wa kudai ukomo wa madaraka na Katiba mpya kwa CCM ikiwa yeye mwenyewe HAVIHESHIMU?Katiba inamruhusu kugombea mnataka ushindi wa mezani ?
Nyie wafuasi wa Lisu akili hamna
Hamtaki demokrasia ichukue mkondo wake kwenye sanduku la kura?
Mbona mumehamaki sana Mbowe kugombea wakati ni haki yake kikatiba
Maria Space ni sehemu ya kufanyia propaganda.Yupo bizz kupanga mikakati ya kumfundisha siasa Lissu . Lissu atajua Maria space sio sehemu ya kufanyia siasa
Hahaha usiogope sana, Tutachanga wananchi mazombi tusio jielewa na kujitambua. October 2025, CCM huwa inashinda miaka yote, sasa sisi mnatusubiri ili iweje?Aah sawa hiyo join the chain si wajichangie wenyewe? Tunawasubiri oktoba 2025 sio mbali
Kila chama kina mfumo.wake CCM katiba imeweka ukomo.ya Chadema haijaweka ukomo tatizo sio Mbowe ni katiba yenu wenyewe mliyoipitisha wenyewe mkaondoa ukomoAcha UZUZU, anapaswa kutumia busara na kupumzika kwa heshima. Atapata wapi ujasiri wa kudai ukomo wa madaraka na Katiba mpya kwa CCM ikiwa yeye mwenyewe HAVIHESHIMU?
Kama hakuna UKOMO wa madaraka kwenye chama, ujasiri wa kuipinga CCM na viongozi wake unatoka wapi? Kwanini basi Samia asiachwe tu akatawala MILELE? Acha uzwazwa weweKila chama kina mfumo.wake CCM katiba imeweka ukomo.ya Chadema haijaweka ukomo tatizo sio Mbowe ni katiba yenu wenyewe mliyoipitisha wenyewe mkaondoa ukomo
Msimsingizie Mbowe ni katiba yenu.mliyopitisha kwenye vikao vyenu halali
Katiba izingatiwe sio busara .Busara sio katiba
Kuna boya mmoja alitenguliwa ila wahuni walimpigis simu kumtonya ili ajue namna ya kuepuka ili asitenguliwe ila alivyo kauzu alikuwa hapokei simu ya asiyemjua basi aisee jamaa wakala kichwa ndiyo akaanza kuhaha kuwatafuta hahaha too late. Hilo jamaa mpaka leo ndiyo hivyo. Tatizo mbowe anadhani kila anaye msapoti lisu ni adui yake, ajifunze kila jambo lina muda wake, yeye kuongoza hiyo NGO ilishafikia mwishoYasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Hivi kweli wewe brazaj unaona huyo kijana anaye vaa kofia ndani ya kofia, hata ongea yake ya kutojiheshimu, ampigie kiongozi kama Mbowe kama anampigia teja fulani. Mbowe angalimpokea naye ningemdharau sana. Huu ni udhalilishaji wa hali ya juu.Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Umeandika ujinga tuKuna boya mmoja alitenguliwa ila wahuni walimpigis simu kumtonya ili ajue namna ya kuepuka ili asitenguliwe ila alivyo kauzu alikuwa hapokei simu ya asiyemjua basi aisee jamaa wakala kichwa ndiyo akaanza kuhaha kuwatafuta hahaha too late. Hilo jamaa mpaka leo ndiyo hivyo. Tatizo mbowe anadhani kila anaye msapoti lisu ni adui yake, ajifunze kila jambo lina muda wake, yeye kuongoza hiyo NGO ilishafikia mwisho
Unajidanganya mkuu na nionavyo wewe hujawahi hata kupiga kura nimeshuhudia kwenye chaguzi sio mara moja watu wanabadilisha mawazo kwenye foleni ya kupiga kura kwa kupewa vipande thelathini vya ngawilaKwa hali inavyokuwa katika chaguzi, hadi sasa tayari kila mjumbe ameshapanga atampigia nani kura. Huwezi kupatia wapiga kura wapya kupitia mdahalo. Kama ni kwa ajili ya watu wengine wasio wapiga kura kupata uelewa sawa, lakini kama ni kwa ajili ya kubadili mawazo ya mjumbe wa mkutano, hilo sahau.
CHADEMA haijawahi kuwa listed kule DSE, mkitaka vyama vya wanachama nendeni mkasajiri vyakwenu.
Nimeanza kupiga kura tangu 1995 nikiwa sekondari tena hata kabla umri haujatimia, sema NCCR walikuwa watoto wa mjini kabla ya CCM, wakatupigisha kura wanafunzi na wakashinda ubunge. Nimeandikisha wapiga kura kwenye BVR 2015 na 2020, nimekuwa msimamizi msaidizi wa kituo cha kura 2015 na nimekuwa msimamizi mkuu wa kituo cha kura 2020.Unajidanganya mkuu na nionavyo wewe hujawahi hata kupiga kura
Hao wanaobadilisha mawazo ni wapiga kura wa mtaani au wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi?nimeshuhudia kwenye chaguzi sio mara moja watu wanabadilisha mawazo kwenye foleni ya kupiga kura kwa kupewa vipande thelathini vya ngawila
Anazikimbia simu?Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
ivi kwl ss watanzania tunashda mtu kaamua kuchukuwa form mwenyw wee unataka kumshaur nn? Propaganda za kishamba yetu macho kweny uchaguz ukifka tujue mbivu na mbichiYasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
View attachment 3188043
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hauwawi!"
Pia soma: Kuelekea 2025 - MDAHALO: Wagombea Uenyekiti wa CHADEMA kuhojiwa na Chief Odemba. Ni tarehe 18.01.2025 Jumamosi
Sawa DAS, sawa VEONimeanza kupiga kura tangu 1995 nikiwa sekondari tena hata kabla umri haujatimia, sema NCCR walikuwa watoto wa mjini kabla ya CCM, wakatupigisha kura wanafunzi na wakashinda ubunge. Nimeandikisha wapiga kura kwenye BVR 2015 na 2020, nimekuwa msimamizi msaidizi wa kituo cha kura 2015 na nimekuwa msimamizi mkuu wa kituo cha kura 2020.
Hao wanaobadilisha mawazo ni wapiga kura wa mtaani au wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi?