Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
image_search_1647631404474.jpg

Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa hacha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Haya kanawe miguu upande kitandani ulale.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa hacha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.



kiongozi hebu tupe mwanga kidogo tupate somo..
unaposema hakuachiqa sababu aio
gaidi ila sababu mahakama
zinafanya kaz kwa kutegemea mashauri ya mkuu wa nchi maana yake ni kuwa Raisi ndo anatoa maamuzi nani afungwe nan aachiwe huru..

mi nilidhani kuwa mahakama inafata sheria zilizoekwa na miongozo..

so
 
kiongozi hebu tupe mwanga kidogo tupate somo..
unaposema hakuachiqa sababu aio
gaidi ila sababu mahakama
zinafanya kaz kwa kutegemea mashauri ya mkuu wa nchi maana yake ni kuwa Raisi ndo anatoa maamuzi nani afungwe nan aachiwe huru..

mi nilidhani kuwa mahakama inafata sheria zilizoekwa na miongozo..

so
Tumia akili za ziada ndugu.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa hacha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Hivi ulichokiandika umekisoma Kwanza kabla hujabonyeza enter? Unaposema mahakama inafanya kazi kwa niaba ya Raisi umeelewa umeandika nini? Kwa maana hiyo unakubali kua Kesi Ile ilikua ya mchongo maana mahakama ipo Kwa kazi za raisi. Sasa kama inafanya kazi kwa niaba ya Raisi na mbowe anakuambia yeye sio gaidi unabisha nini
 
Hivi ulichokiandika umekisoma Kwanza kabla hujabonyeza enter? Unaposema mahakama inafanya kazi kwa niaba ya Raisi umeelewa umeandika nini? Kwa maana hiyo unakubali kua Kesi Ile ilikua ya mchongo maana mahakama ipo Kwa kazi za raisi. Sasa kama inafanya kazi kwa niaba ya Raisi na mbowe anakuambia yeye sio gaidi unabisha nini
Huwezi kuelewa mpaka uwe na Iq kubwa
 
Hiyo kesi ya kujibu ipoje? Tupe maelezo pumbavu kabisa wewe,CCM yote ni sifuri hayana akili timamu,yanagangaa njaa tu
 
Back
Top Bottom