Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Daaah umebongoa vizuri ukisubiria upigwe la kati....kunjua mfereji upigwe nao
IMG_20211120_111728.jpeg
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Wahi matibabu.Wenzako kama wewe wapo Mirembe. Jukwaa la JF is for good minds.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Sasa hamkumwacha ajitetee? Kiherehere chenu cha kufanya mambo bila kufikiri, kimewatokea puani.
 
Shida tuliyo nayo watanzania ni kusadiki source of knowledge ni authority, Kwa vile rais ana mapolisi na mavyombo mengine ya mabavu anayoyatumia kuhakikisha utopolo wake uonekane ni absolute knowledge. Kama ni mjinga utaendelea na ujinga wako mpaka utakapojitambua kuwa unapaswa kujielimisha ili kuondoa maujinga yako. Kinyume chake akionekana mtu mwingi anajiamini sana, utasikia wajinga wanasema "Hivi huyu Mbowe anajiamini nini?" Sifa ya binadamu yeyote ni kujiamini, kama wewe umelelewa kiCCM kuwa docile and boot leaker ni maujinga yako. Watanzania tujifunze kujiamini nobody has monopoly of knowledge in this mother Tanzania. Cry my Beloved Country.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Hata la saba umemaliza kweli?picha ya Raisi haipo kwenye mahakama tu,hata ofisi binafsi zimewekwa!!
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Baada ya ushahidi kumalizika na POLISI CCM, kuabika kuaibika kwa kukosa ushahidi, iliona aibu ikafutakesi. Tunajua roho ya UOVU wa CCM bali Ingali inatamani ukatili.
 
Back
Top Bottom