Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Ebu tuambie nchi yoyote duniani ambayo imewahi kumuachia gaidi ambaye ana kesi ya kujibu mahakamani ili hoja yako iwe na mashiko
 
Si mngemfunga! Makosa mmempa wenyewe, mmemwachia wenyewe... kina wauma na kawakereketa wenyewe! Kimba kweli wewe
 
Kesi ya mchongo, majaji wa mchongo, mashaidi wa mchongo, magaidi wa mchongo, mashabiki wa mchongo, judgement ya mchongo
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Hivi ni kwa nini mnapenda kujidhalilisha na kuonekana hamna akili,uelewa hata ufahamu? Yawezekana weye ni mtu mzima lakini uandishi wako ni kama upo Milembe Resorts!Mtaishia kudharaulika na kutukanwa na watoto humu JF kwa kuzifanya akili zenu kuwa nyembamba Kama tishu.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Hivi ni kwa nini mnapenda kujidhalilisha na kuonekana hamna akili,uelewa hata ufahamu? Yawezekana weye ni mtu mzima lakini uandishi wako ni kama upo Milembe Resorts!Mtaishia kudharaulika na kutukanwa na watoto humu JF kwa kuzifanya akili zenu kuwa nyembamba Kama tishu.
 
Hivi ni kwa nini mnapenda kujidhalilisha na kuonekana hamna akili,uelewa hata ufahamu? Yawezekana weye ni mtu mzima lakini uandishi wako ni kama upo Milembe Resorts!Mtaishia kudharaulika na kutukanwa na watoto humu JF kwa kuzifanya akili zenu kuwa nyembamba Kama tishu.
Sio kosa lako, bali kosa ni kutokuwa na elimu.
 
Mleta mada umeandiak hii mada ukitokea klabu cha pombe za kienyeji au kijiwe cha miraa!
Kwa hiyo hii kesi ilikuwa ya kigaidi na alipanga ugaidi kweli? jibu hili swali! usilijibu kwa mihemko au kwa kudemka.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Mbona hueleweki au unaandikwa huku unakimbia? Punguza Hasira Mbowe sio Gaidi ndio maana Aliyemshtaki kaogopa UTETEZI WA MBOWE kumbuka Mashahidi ambao wangeitwa Upande wa Utetezi ingekuwa Aibu kwa NCHI kuna Sirro,rais wa Zanzibar n.k
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
H
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Kuhusu uanaharakati, "Is it really worth it? ". Upande wa kwanza wa Mbowe unaonyesha mtu Anaye jitolea kupigania haki kwa kupaza sauti, kuwa sema vibaya viongozi waliopo serikalini na kutoku ogopa vyombo vya dola. Upande wa pili wa Mbowe unaonyesha binadamu kama binadamu wengine. Utagundua kwamba Mbowe ni baba, Mbowe ni mume, Mbowe anategemewa na watu wengine. Baada ya kupitia aliyopitia na kuachiwa huru, is it really worth it kuendelea na agenda zile zile?
 
😂😂😂😂haya bwana
Nami nimecheka kwa niaba yako eti IQ kubwa 😇🤷🏼‍♀️
Mate unamjibu Mwl wa Walimu hahaaa tusio na IQ kubwa tupange mstari tupate kuhesabiwa haki ya naniiii
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.

umeongea point sana na ubarikiwe kwa kutupa elimu wengi huwa hawajui wao nikusifia tu na wengine wao matusi kama yote ila mada yako nzuri sana
 
Hiyo kesi ya kujibu ipoje? Tupe maelezo pumbavu kabisa wewe,CCM yote ni sifuri hayana akili timamu,yanagangaa njaa tu
alipatikana na kesi ya kujibu kwa mjibu wa ushahidi uliotoewa; na kasema atajibu kwa na vielelezo na mashahidi 11 akiwemo yeye mwenyewe.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
We jinga sana.
Sasa wewe na mahakama ya chumbani kwako ndio mmemhukumu kuwa gaidi.
Vikaragosi vya mwendazake ninyi.
 
View attachment 2155825
Kama kweli wewe sio gaidi na tuhuma hazikuwa na uzito wa kukutia hatiani unadhani kwa nini kesi ilifikia hatua ya wewe kujitetea?

Umesahau kuwa mahakimu na majaji huwa wanafanya kazi ya kuamua mashauri na kutenda haki kwa niaba ya raisi wa JMT?

Kwa nini mahakama huwa zinakuwa na picha ya raisi au ngao ya taifa? Hii ndio sababu ya wewe kuachiwa ni kwa sababu hii ya mahakama kuwa na ngao ya taifa au picha ya rais wa JMT umeachiwa acha kauli za kujipaisha wakati maji yalikuwa shingoni.
Uwe unakumbuka kufuta kule ukimaliza kujisaidia
 
Back
Top Bottom