Kamanda Mkuu wa Hezbollah Ahmed Wahabi anayeongoza idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi auawa na Jeshi la Israel

Kamanda Mkuu wa Hezbollah Ahmed Wahabi anayeongoza idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi auawa na Jeshi la Israel

Wadau hamjamboni nyote?

Ahmed Wahabi aliongoza Idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi ya Hezbollah

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

One of those named by Hezbollah, Ahmed Wahabi, is identified by the terror group as a “commander.” Hezbollah rarely refers to its senior operatives slain in Israeli strikes as commanders.

Hezbollah says Wahabi was the head of the terror group’s “central training unit,” and was previously a top commander in the elite Radwan Force. Like other Hezbollah officers, Wahabi was also involved in fighting for the Assad regime in Syria during the civil war.

Reuters
Hivi hawa Waisrael wataua Waislam mpaka lini? Tena Viongozi
Hataki full scale war wakati anawadondosha makamanda wa Hezbollah kama kuku wa mdondo.😆
Juzi amemn’goa jicho balozi wa Iran
Yaani Israel wana Makusudi sana, wanawagusa wale Potential Leaders wote...yaani mmoja mmoja

Inna llilah
 
Sheria ya Musa (wayahudi) ni kupigwa mawe mpaka kufa kama alivyofanyiwa Stephan
Sheria ya Rumi ni kutundika mtini kama alivyofanyiwa Yesu.
Kosa la myahudi ni kutomtambua Yesu. Kuhusu kutoa ushirikiano kwa Warumi, ni kwa vile walikuwa watawala wao. Bye
Anha!

Nimepata cluel ya ulichomaanisha,unajua wengi wetu hutafsiri haraka haraka tukiwaweka hao (Rumi&Yahudi) kwenye kapu moja.shukrani kwa ufafanuzi.
 
Ninachojiuliza sasa...

Ni kwanini ARAB LEAGUE isisimame kutetea nchi za Kiislam na Kiarabu katika mapambano?
 
Si tuwapeleke ritz, maghayo, webabu, faiza foxy, malaria nk wakajinyakulie mabikra 72 na mito ya pombe
Maghayo yeye aligoma na mpaka sasa amegoma hataki habari za bikra 72 wala mito ya pombe yeye anasema vyote anapiga hapa hapa kwenye mgongo wa ardhi siku akiondoka kwa baba anachojua yeye ni anaenda kuimba na kusifu tu

Nikimnukuu alisema kwamba ”Mungu wa kweli haezi ahidi viumbe wake ahadi narrow na za kufikirika kama hizo”
 
Bwege wewe Israel awachiwe uwanja na Egypt peke yao, bila kusaidiwa na Nato basi ni siku mbili tu watapotezwa.

Ikiwa Hamasi anasaidiwa na Nato nzima.

Angalieni mpaa computer mlizo zitengeneza ambazo mnazita clever technology zinawambia nini. wameiondoa ile ya kuhusu dini ya kiyahudi, pia ilijibu Islam ndio dini haswa ya kweli.


View: https://youtube.com/shorts/JuQYMVM4FPI?si=k477NjYWkJnzdbo8

Waafrika mmezidi ujinga yaani wewe kushabikia utamaduni wa wengine ndio unaona sifa mbona wenyewe utamaduni wenu wanauona ni wa kishenzi.

Mungu akija kuiharibu hii dunia na kuumba nyingine safari hii hatafanya kosa la kuwaumba watu weusi maana hawana maana kabisa.
 
Ila Lebanon huwa sipendi kabisa iingie kwenye mgogoro na Israel niliishi hapo 2017 wakaniuzia viatu from handmade hivi havitakuja kuisha huwa naviacha na kuvirudia ni watu poa sana
Pole bro, Timbwili hilo limenasababishwa na magaidi Hezbollah wanaopenda vita na sio Lebanon. (Lebanese people.). Vita sio kitu kizuri hata siku moja ila basi tu imeshakuwa.
 
Tafaadhwali idadi ya ma HURURAIN iongezwe huko FIRIDAUSI na MNYAANZI maana mwaka huu Mnyahudi kawapeleka huko wa kutosha kwenda kufaidi ngonozembe katika viunga vya JAHNA TUL FIRDAUS. Hofu yangu Kuna wengine watakosa unono huo au mgao utapungua kutokana na demand kuongezeka
 
Yah shida ni Hezbollah na sio wa Lebanese na hata wao hawawakubali kabisa sema ndio hivyo wako pale hakuna namna
Jipe moyo, iko siku hayo yatapita na utulivu, amani vitatamalaki.
 
Mabikiraa 15 asee ameshajichagulia zake tayari kabisaa mkuuu .

Mtuu anakuwa anaamka tuuu analala na bikira mmojaaa
Safi sa JESHI LA ISRAEL 🇮🇱 WELL DONE

THE MAN START TO BENIFIT 15 VARGIN WOMEN
Aisee, acha wizi na dhulma. Ahadi tambuka Officially agreed promise ni Mabikra 72 sio 15. Kama akipewa 15 atakuwa amepunjwa/ameibiwa mabikra 57. Hilo halikubaliki ni dhuluma aisee.
 
Aisee, acha wizi na dhulma. Ahadi tambuka Officially agreed promise ni Mabikra 72 sio 15. Kama akipewa 15 atakuwa amepunjwa/ameibiwa mabikra 57. Hilo halikubaliki ni dhuluma aisee.
Mkuuu nimeomba radhi mkuu ,na ushaidi upo mkuu ,fatilia hii thread.
Narudia tena mimi Kibori Nangai naomba radhi kwa kuandika uongo wa mabikira ya huyu ndugu tajwa hapo juu.
 
Maghayo yeye aligoma na mpaka sasa amegoma hataki habari za bikra 72 wala mito ya pombe yeye anasema vyote anapiga hapa hapa kwenye mgongo wa dunia siku akiondoka kwa baba anachojua yeye ni anaenda kuimba na kusifu tu

Nikimnukuu alisema kwamba ”Mungu wa kweli haezi ahidi viumbe wake ahadi narrow na za kufikirika kama hizo”
So amempata mwokozi
 
Mkuuu nimeomba radhi mkuu ,na ushaidi upo mkuu ,fatilia hii thread.
Narudia tena mimi Kibori Nangai naomba radhi kwa kuandika uongo wa mabikira ya huyu ndugu tajwa hapo juu.
Ombi limekubaliwa- karibu tuendelee sasa na mjadala.
 
Tafaadhwali idadi ya ma HURURAIN iongezwe huko FIRIDAUSI na MNYAANZI maana mwaka huu Mnyahudi kawapeleka huko wa kutosha kwenda kufaidi ngonozembe katika viunga vya JAHNA TUL FIRDAUS. Hofu yangu Kuna wengine watakosa unono huo au mgao utapungua kutokana na demand kuongezeka
Kweli mkuu ila nahofia zaidi vidume wataweza kudundana katika hekaheka au kinyang'anyiro cha kugombania na kunyang'anyana huo mgao. Itakuwa tena ni balaa katika viunga vya Jahna'....
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ahmed Wahabi aliongoza Idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi ya Hezbollah

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

One of those named by Hezbollah, Ahmed Wahabi, is identified by the terror group as a “commander.” Hezbollah rarely refers to its senior operatives slain in Israeli strikes as commanders.

Hezbollah says Wahabi was the head of the terror group’s “central training unit,” and was previously a top commander in the elite Radwan Force. Like other Hezbollah officers, Wahabi was also involved in fighting for the Assad regime in Syria during the civil war.

Reuters
God Bless Israel
 
Bwege wewe US karudisha carries zake mbio mbio zipo kwenye bahari karibu na Lebanon. Afu kuna fununu Internal security ya Lebanon ndio imehusika kuwapa infomation jana Israel. Tulieni huoni leo Israel anajidai hata hataki full scale war na Hezbullah atajua hata auwe viongozi wako walio komao ni balaa zaidi ya hao.
Huyu anakojoa kwa mrija sasa kinachoendelea unakijuwa atafnywa kama mnavyofanya wale mbuzi mlioagizwa na allah
haha
View: https://x.com/HamasAtrocities/status/1837496776946835855?t=lRFOaV-I5uHhU_EEUKBi3A&s=19
 
Back
Top Bottom