MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.
Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.
Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.
====================================
www.dailymail.co.uk
Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.
Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.
====================================
Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence
- Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
- It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
- Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
- The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
Ukraine claims Russian commander killed himself over tank conditions
In an update from Kyiv's MoD, the country said that the commander within the '4th tank division of the Russian Federation' shot himself due to the dire condition of the unit's tanks held in reserve.