Kamanda, mkuu wa kikosi cha vifaru Urusi ajitoa uhai

Kamanda, mkuu wa kikosi cha vifaru Urusi ajitoa uhai

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.

Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.

Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.


====================================

Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence​

  • Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
  • It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
  • Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
  • The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
 
Ivi Putini mwenyewe bado hajakuwa na maamuzi magumu shooting himself..? hali aliyonayo ni mbaya Ukraine wameamua kumshambulia hadi Donabas hii ni aibu kwa huyu aliyekuwa akijitapa kwamba dunia ipo kiganjani mwake
 
Ivi Putini mwenyewe bado hajakuwa na maamuzi magumu shooting himself..? hali aliyonayo ni mbaya Ukraine wameamua kumshambulia hadi Donabas hii ni aibu kwa huyu aliyekuwa akijitapa kwamba dunia ipo kiganjani mwake
Leo mbichi Zelensky alikuwa anabweka kama Mbwa anaomba Fiter jets na tank kwa Poland, anadai Urusi watavuka boda hawawezi ishia Ukraine, Putin anaendelea kusafisha mazingira
 
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.

Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.

Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.


====================================

Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence​

  • Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
  • It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
  • Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
  • The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
Nyie mnaelewa nini kuhusu vita,shughulikeni na balaa la njaa kwanza lililoko nchini mwenu. Siyo maneno yangu mkuu,usinikasirikie
 
Mkuu putini kashindwa vita, kisago alicho kipata wiki hii kaona achomoe Kyiv sasa wahuni wanafata huko huko
Kachomoa wapi ? ndio kwanza tunapiga target jana ghala la kuifadhia mafuta huko LVIV limelipuliwa vibaya sana, Ukraine hawezi kutumia bahari tena kwasasa kusafirisha mizigo Urusi kaziba, sasa hivi ni mwendo wa Treni tuuu
 
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.

Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.

Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.


====================================

Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence​

  • Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
  • It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
  • Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
  • The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
Mngejikita hapa kwanza

UN warns 90 percent of Ukrainians could face poverty if war continues​

The United Nations Development Programme (UNDP) says if the conflict in Ukraine does not stop soon 90 percent of the country’s population could fall into poverty.
 
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.

Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.

Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.


====================================

Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence​

  • Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
  • It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
  • Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
  • The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
Mngejikita hapa kwanza

UN warns 90 percent of Ukrainians could face poverty if war continues​

The United Nations Development Programme (UNDP) says if the conflict in Ukraine does not stop soon 90 percent of the country’s population could fall into poverty.
 
Mngejikita hapa kwanza

UN warns 90 percent of Ukrainians could face poverty if war continues​

The United Nations Development Programme (UNDP) says if the conflict in Ukraine does not stop soon 90 percent of the country’s population could fall into poverty.
Hii ni moja ya matokeo ya vita hivyo naona hakuna jipya. Otherwise Putin sio strong kama ambavyo tumeaminishwa.
 
Hii ni baada ya kutathmini idadi ya vifaru kwenye hifadhi na kugundua vingi vimeibiwa "parts" na havipo tayari kwa shughuli huku vilivyo kwenye uwanja wa mapambano vimeliwa shaba na kupunguzwa pakubwa. Jamaa ameona isiwe tabu maana utamjibuje Putin na alivyokua chizi hashikiki wala kushaurika, unaweza ukafanyiwa mateso ya mwaka.

Pia kuna taarifa za Urusi kuandaa mikakati ya kugeuza na kushikilia jimbo moja tu maana Kiev imeshindikana.

Jameni Ukraine huu ugomvi ukiisha wamrudie Mungu maana kwa kweli ilikua tension dunia yote, tulijua watasambaratishwa asibaki kiumbe chochote ukizingatia namna Urusi husifiwa, aidha itakua hao Urusi ni Supa pawa wa mchongo au wamevurugika kimiujiza miujiza kama ilivyokua kwa Goliath kwenye pambano lake dhidi ya Daudi.


====================================

Russian tank regiment commander killed himself ‘after finding out 90% of tanks held in reserve were unusable because parts had been stolen’, claims Ukrainian intelligence​

  • Kyiv's Ministry of Defence claimed the commander was with the 4th tank divison
  • It claimed he killed himself when he realised state Russian reserve tanks were in
  • Kyiv said in his unit, one out of 10 tanks in storage were 'more or less' operational
  • The commander becomes the latest high-ranking Russian military official to have died in Ukraine since Putin ordered his forces to invade Ukraine on Feb. 24
Yaan wewe Mmoja upambane na nchi 30, bado tukujudge vibaya. Urusi kajitahidi bana
 
Hii ni moja ya matokeo ya vita hivyo naona hakuna jipya. Otherwise Putin sio strong kama ambavyo tumeaminishwa.
Nani strong sasa kuliko Putin, maana tumeona vita vingi duniani, US kakaa miaka 20 Afghastan kashindwa kuwamaliza Taliban, mwisho kakimbia kawaachia nchi, halafu Taliban hawana cha maana zaidi ya mawe na rifle
 
Back
Top Bottom