Kamanda mwenzetu Joyce Mukya yuko wapi? Ni mmoja wa makada waliolamba viti maalum kiaina. Anatakiwa atoe neno kipindi hiki kigumu

Kamanda mwenzetu Joyce Mukya yuko wapi? Ni mmoja wa makada waliolamba viti maalum kiaina. Anatakiwa atoe neno kipindi hiki kigumu

Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Hii hapa 5days back
IMG_20210918_213824.jpg

Hii hapa sept11
IMG_20210918_213857.jpg
 
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Kwani yule cheupe mke wa mhaya aliyepewa wizara maalum mbona hakutoa neno lolote kwenye msiba wa mwenzake? Au ulisikia lolote kutoka Kwa cheupe? Huna akili wewe mbwia ugolo!
 
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Ni makamanda wachache Sana wanaoweza kula mua na fundo lake. Wengi wa hawa maalum hupenda mua tu kwenye fundo wanakutupia huko.
 
... hivi huyu ndiye aliwahi kuvamia msiba usiomhusu akidai marehemu ni MUMEWE?
Yule ni Comred kada kindaki ndaki wa CCM.Katibu Mkuu alijaribu kumsumbua akaambiwa Huyu ndio mwenye chama akaufyata.
 
Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.

Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.

Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Tayari uko kwenye heat wewe
 
Back
Top Bottom