Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa 5days backAlikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.
Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.
Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Wewe na magonjwa mtambuka?Kwani huoni jina lake ni Kamanda Asiyechoka; tena kaweka nembo ya ufipa kabisa?
Kwani yule cheupe mke wa mhaya aliyepewa wizara maalum mbona hakutoa neno lolote kwenye msiba wa mwenzake? Au ulisikia lolote kutoka Kwa cheupe? Huna akili wewe mbwia ugolo!Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.
Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.
Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Lumumba hakuna ugaidi
USSR
Unampinga kamanda mwenzako?Wewe na magonjwa mtambuka?
Ni makamanda wachache Sana wanaoweza kula mua na fundo lake. Wengi wa hawa maalum hupenda mua tu kwenye fundo wanakutupia huko.Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.
Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.
Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
Huyu kamanda anamatatizo.Unampinga kamanda mwenzako?
Wewe ni magonjwa mtambuka?Unampinga kamanda mwenzako?
Hilo ni vaku wee mzee 😂😂😂 anaweza weka yoyote, ila huyo ni mbogamboga mwenzako!!Kwani huoni jina lake ni Kamanda Asiyechoka; tena kaweka nembo ya ufipa kabisa?
Issue ya ugaidi mnaizungumza tu lkn ugaid ni balaa, issue hii ni ya kisiasa tuLumumba hakuna ugaidi
USSR
Qmmke 😂😂😂umempa konde zito usoni 😂😂😂😂😂😂Hamza ni mzalendo?
Yule ni Comred kada kindaki ndaki wa CCM.Katibu Mkuu alijaribu kumsumbua akaambiwa Huyu ndio mwenye chama akaufyata.... hivi huyu ndiye aliwahi kuvamia msiba usiomhusu akidai marehemu ni MUMEWE?
Shauri yako; wewe endelea kumkana kamanda mwenzako.Hilo ni vaku wee mzee 😂😂😂 anaweza weka yoyote, ila huyo ni mbogamboga mwenzako!!
Hilo ni taganistShauri yako; wewe endelea kumkana kamanda mwenzako.
Tayari uko kwenye heat weweAlikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni.
Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma.
Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.