Tokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai.
Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.
Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?
Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?
Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.
Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?
Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?
Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao
Nawasilisha.
Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.
Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?
Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?
Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.
Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?
Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?
Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao
Nawasilisha.