Uchaguzi 2020 Kamanda Sirro: Vyama kulinda kura ni kosa la jinai

Uchaguzi 2020 Kamanda Sirro: Vyama kulinda kura ni kosa la jinai

Kwa utaratibu anaosema Sirro ulinzi wa kura ni wa polisi (yaani dola) pekee.

Umeona hapa:

View attachment 1542788

Ya Sugu Mbeya nayo uliyaona?

Wapi hata kuna rejea inayohusisha wakala? Achilia mbali mawakala. Kwanini suala la kutohujumiwa kwa kura lisiwe ni suala la maslahi kwa vyama na hata wagombea wote?

Kama yote huyaoni, mwenye akili za kuvukia barabara peke yake ni wewe mkuu.
Huyo hana macho ,bali vidonda mahala pa macho.
 
Uza ubongo huo maana unaumiliki kwa hasara dogo, hii ni nchi ya kidemokrasia na sio ya kijeshi. Kwenye ushindani wa kisiasa ni lazima uaminike.
Unavaa uhusika usiokufaa. Neno dogo labda kama umetumia kigezo cha wakati wa kujiunga Jf hata hivyo kwenye makaratasi hii ni nchi ya kidemokrasia ndio upo sahihi. Kuaminika na wananchi hakukupi hii nchi labda kama una sauti ya kuwafanya wakuingize kwenye mamlaka kwa nguvu. Kinyume na hapo we we aminika tu lakini tii mamlaka iliyopo.
 
Kaka unaongea as if unaishi nje ya afrika hivi kwa mfumo huu wa kiutawala TZ ile 2015 isingekuwa wafuasi wa upinzani kulinda kura nadhani kungekuwa Hanna mbunge hata 1 wa upinzani bungeni
Mkuu, kazi ya mnufaika ni kujitoa ufahamu kama huyo jamaa.
 
Unaishi sehemu gani isiyo kuwa na utaratibu?? Kama uwakilishi usingekuwa na umuhimu basi hata bunge lisingekuwa na maana kwani tungeenda watanzania wote dodoma ili kutunga na kupitisha sheria.

Unadhani watanzania wote tukienda kulinda kura humo ndani kura zinapohesabiwa kutatosha.

Kuwa mpinzani sio tiketi ya kujitoa ufahamu
akili yako wajua kulinda kura unakaa ndani ya chumba cha kupigia kura hahahahahahhahahaha una akili ndogo hadi nimejiuliza unaishie kwa akili kiduchu ivo
 
Mwaka huu CCM, necccm , policcm , mataga , wahuni wa CCM , Siro jiandaeni kwenda the Hague haya wenye dunia wamekujibu Siro Soma hapa
Screenshot_20200820-190548.png
 
Tokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai.

Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.

Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?

Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?

Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.

Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?

Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?

View attachment 1542661

View attachment 1542685

Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

Nawasilisha.
Kama kuna sheria ya hivyo bc ni sheria inayovunja haki. Kazi ya sheria ni kulinda haki lakini pia zipo sheria zinazovunja haki. Fikiri Wewe unyimwe haki ya kulinda vitu vyako yahani huna haki ya kulinda nyumba, mifugo,mazao,gari nk. Wakati ni Wewe ulivitafuta. Yahani unahaki ya kujiandikisha, kupiga kura alafu matokeo sijui uletewe nyumbani ahingii hakirini.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sheria inayokuruhusu kulinda kura maana kazi hiyo inafanywa na wakala wa chama chako ndani ya kituo cha kupiga kura. Kalindeni mvunjwe viuno hamna atakae watetea
 
Tokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai.

Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi ya polisi peke yao.

Kwa nini kamanda Sirro haoni umuhimu wa wenye mali yaani yenye kura zao kujiridhisha kuwa ziko salama?

Kwa nini kamanda Sirro haoni kuwa vitimbi vya polisi dhidi ya vyama vya upinzani vinawafanya kutoaminika?

Rejea vitimbi vya polisi wa Mbeya dhidi ya Sugu. Rejea matamshi ya bashiri kuhusiana na matumizi ya vyombo vya dola ili kubakia madarakani.

Kamanda Sirro kwanini haoni umuhimu wa utaratibu wa wazi kwa vyama kujiridhisha kuhusiana usalama wa kura, ni kigezo muhimu kuonyesha kuwa haki imetendendeka kwa mustakabala mzuri wa amani yetu sote?

Ni kweli kuwa kamanda Sirro anategemea kwa dhati kabisa kuwa polisi wake katika mazingira haya watatenda haki?

View attachment 1542661

View attachment 1542685

Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

Nawasilisha.
Sheria ile iko supported na kifungu kipi cha katiba ya JMT? Au amejitungia yeye mwenyewe kuhalalisha uonevu utakao fanywa na polisi wake siku ya siku? Wanasheria mtueleze uhalali wa sheria hii.
 
Back
Top Bottom