900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
policcm c ndio huwa wanakimbia na mabox ya kura na wakurugenziRaia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
policcm c ndio huwa wanakimbia na mabox ya kura na wakurugenziRaia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
Hizo nadharia hazina madhara kiutawala.policcm c ndio huwa wanakimbia na mabox ya kura na wakurugenzi
polisi kazi yao ni kutulinda sisi wakati sisi tunalinda kura zetu hadi zitakapo hesabiwa kikamilifuHuu msemo ni applicable pale tu watawaliwa wanapoacha kutii. Mpaka sasa hauna uhalisia maana utii upo.
Hilo litawezekana kama una mamlaka ya kutoa amri kwa polisi na wakatii. Kinyume cha hapo huna namna.polisi kazi yao ni kutulinda sisi wakati sisi tunalinda kura zetu hadi zitakapo hesabiwa kikamilifu
kwani kazi ya polisi ni nini kwa mujibu wa sheria,au kwa vile dikiteta kapuuza sheriaHilo litawezekana kama una mamlaka ya kutoa amri kwa polisi na wakatii. Kinyume cha hapo huna namna.
Kazi ya polisi ni kulinda amani ndani ya mipaka ya nchi.kwani kazi ya polisi ni nini kwa mujibu wa sheria,au kwa vile dikiteta kapuuza sheria
Kaka unaongea as if unaishi nje ya afrika hivi kwa mfumo huu wa kiutawala TZ ile 2015 isingekuwa wafuasi wa upinzani kulinda kura nadhani kungekuwa Hanna mbunge hata 1 wa upinzani bungeniUnaishi sehemu gani isiyo kuwa na utaratibu?? Kama uwakilishi usingekuwa na umuhimu basi hata bunge lisingekuwa na maana kwani tungeenda watanzania wote dodoma ili kutunga na kupitisha sheria.
Unadhani watanzania wote tukienda kulinda kura humo ndani kura zinapohesabiwa kutatosha.
Kuwa mpinzani sio tiketi ya kujitoa ufahamu
Raia wa nchi ganiRaia Wanaweza kufanya tukio lisilozulika, hawatakiwi kulinda kura.
sawa sisi wananchi tutalinda mipaka ya kura zetuKazi ya polisi ni kulinda amani ndani ya mipaka ya nchi.
TanzaniaRaia wa nchi gani
Upo sahihi kama una sauti ya kimamlaka ya kuwaelekeza wananchi wenzako wasitii.sawa sisi wananchi tutalinda mipaka ya kura zetu
Huu msemo ni applicable pale tu watawaliwa wanapoacha kutii. Mpaka sasa hauna uhalisia maana utii upo.
Sasa basi, sitakubali dhuluma, tutalinda kura na maneno yanayofanana na hayo si tatizo. Hayo si hatarishi maana ni maneno tupu. Hatari ni tendo lenyewe.Hujasikia kuwa sasa basi?
Kutii ni kwa amri halali tu. Hizi zingine hujasikia?
Basi!
Sema Wananchi. Hao ndio wapiga kura. Sio vyama. Acha kupotosha.Tupe utaratibu unaoruhusu vyama kulinda kura.
Sawa sawa kabisa. Mtu ashike chake kama Mwakiembe siku ile, halafu asaini. Kitangazwe, kieleweke , wahusika wasepe aidha kwa kilio au kicheko. Janja janja za kizamani hapana. Sasa basi!!!" Mfumo uliotumiwa na ccm kwenye Kura za maoni kuhesabu Kura utumike pia kwenye uchaguzi mkuu,ni mfumo mzuri ,wa wazi na hauna kasoro zozote, pale unakosema polisi wasimamie Kura ndipo Vita inapoanzia. Mwenye Kura ashike Kura zake mwenye na ahesabu mwenyewe akimaliza asaini kukupali matokeo.
Hio ndio nia yaoHuoni umuhimu wa washindani kujiridhisha wenyewe kushinda au kushindwa kwenye kinyang'anyiro chochote?
Haiyumkiniki utakuwa mnufaika katika hali fyongo iliyopo.
kwenye kutawaliwa hakuhitaji kuaminika. Suala hapa ni kutawaliwa mambo ya watawaliwa kuamini au kutokuamini hayo hayana madhara ilimradi tu wanasikiliza wanachoambiwa, na sasa hivi wanaambiwa wasilinde kura, wapige warudi nyumbani kusubiri taarifa.