Kamanda wa Anga Jeshi la Iran afariki kwa ajali ya Gari. Je, ni kazi ya Mossad?

Kamanda wa Anga Jeshi la Iran afariki kwa ajali ya Gari. Je, ni kazi ya Mossad?

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
JUST IN: Iranian Air Force IRGC officer killed in a car accident during a mission.

Is the Mossad behind it? I guess we will never know.

FB_IMG_1655060914804.jpg
 
Wiki iliyopita mkuu wa kidon alilipuliwa ndan ya iraq
Wao waisrael wanacheka kwamba hakuna kitu kama hicho;
All of Israel is laughing at Iran's ridiculous claim that a Mossad commander by the name of Asa Flots was killed in a drone attack in Erbil, Iraq.

Iran claimed to have killed a mysterious Israeli Mossad commander called "Asa Flots", but we Hebrew speakers quickly realized that the story smelled a little bit funny . . .

Why are we laughing?

In Hebrew, "Asa Flots" means "he farted."

Apparently Iran is the "butt" of this 🤣
FB_IMG_1655066728438.jpg
 
Duh,so mkuu wataka kusema this is a revenge au kuna mahusiano ya matukio haya mawili.
Wao waisrael wanakana kwamba hakuna kitu kama hicho;
All of Israel is laughing at Iran's ridiculous claim that a Mossad commander by the name of Asa Flots was killed in a drone attack in Erbil, Iraq.

Iran claimed to have killed a mysterious Israeli Mossad commander called "Asa Flots", but we Hebrew speakers quickly realized that the story smelled a little bit funny . . .

Why are we laughing?

In Hebrew, "Asa Flots" means "he farted."

Apparently Iran is the "butt" of this 🤣
FB_IMG_1655066728438.jpg
 
Wao waisrael wanakana kwamba hakuna kitu kama hicho;
All of Israel is laughing at Iran's ridiculous claim that a Mossad commander by the name of Asa Flots was killed in a drone attack in Erbil, Iraq.

Iran claimed to have killed a mysterious Israeli Mossad commander called "Asa Flots", but we Hebrew speakers quickly realized that the story smelled a little bit funny . . .

Why are we laughing?

In Hebrew, "Asa Flots" means "he farted."

Apparently Iran is the "butt" of this 🤣View attachment 2258854
Uhasama wa haya mataifa mawili nimkubwa sana.
 
Israel imesema kwamba kama dunia haita izuia Iran kupata nuclear weapons basi watafanya preemptive strike katika hizo facilities
 
Israel imesema kwamba kama dunia haita izuia Iran kupata nuclear weapons basi watafanya preemptive strike katika hizo facilities
Kama ulishangalia interview za meir dagan,aliyekua mkurugenzi wa mossad. Huyu jamaa ni kichwa sana kwenye mambo ya Ujasusi na aliwahi kusema israeli itakua kwenye hatari kubwa, siku ikijaribu kuishambulia iran kijeshi. Hapa hata mie nilikubaliana nae maana option wanayoitumia ni sana israeli ni assasination. Kwa viongozi na wanasayansi wa irani l, hivyo haya mataifa mawili kuingia vitani directly nivigumu mno. Hapa wanapigana kwa proxy war tu basi na kuendelea kutishiana.
 
Kama ulishangalia interview za meir dagan,aliyekua mkurugenzi wa mossad. Huyu jamaa ni kichwa sana kwenye mambo ya Ujasusi na aliwahi kusema israeli itakua kwenye hatari kubwa, siku ikijaribu kuishambulia iran kijeshi. Hapa hata mie nilikubaliana nae maana option wanayoitumia ni sana israeli ni assasination. Kwa viongozi na wanasayansi wa irani l, hivyo haya mataifa mawili kuingia vitani directly nivigumu mno. Hapa wanapigana kwa proxy war tu basi na kuendelea kutishiana.

Kombora moja la nuclear likitua Tehran akili zitakua sawa, Iran mnamkuza tu lakini hana lolote ni mikwara, yule jenerali wao alipogwa bomu na marekani mwishoe wakalipua ndege yao wakindhani ni B52 bomber ya USA
 
Umesoma ukaelewa? Rudia kusoma tena
Kombora moja la nuclear likitua Tehran akili zitakua sawa, Iran mnamkuza tu lakini hana lolote ni mikwara, yule jenerali wao alipogwa bomu na marekani mwishoe wakalipua ndege yao wakindhani ni B52 bomber ya USA
Kwahyo wew unaakili kuliko aliyekuwa mkurugenzi wa mossad, napia mshauri mkubwa wa Waziri mkuu wa israeli cndio.Mbona marekani baba yake israeli ameweka makambi ya kijeshi kuizunguka iran. Lakin mpaka leo hajaivamia kijeshi, unafikiri wenyewe hawajapima nakuona matokeo mabaya watakayopata. Baada ya kufanya huo uamuzi wao.
 
makanda wakuu wa Irani, wapo Uchi sana tatizo I mean hawawezi kujificha mossad wanawajua In and Out.
yaani hawalindwi kabisa. vifo vyao vingi vinatokea barabarani. mchana kweupe.
kamanda mkuu kama huyu unakufaje kwa ajali ya barabarani.
 
BREAKING: Iranian regime agents tried UNSUCCESSFULLY to kidnap an Israeli tourist in Istanbul. He managed to escape.
 
Back
Top Bottom