mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Wanaotafsiri hizi aya wachunguzwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaotafsiri hizi aya wachunguzwe
me nilijua nukuu ya aya katika QURAN. kama maelezo hata kafiri mwenzako si anaweza kueleza kwa utashi wake. mapastor yanashindiliw sio uzunguni tu wengine kenya tu hapo
Hayo ni maneno ya Allah. Kama ingekuwa ni uongo, waislamu dunia nzima wangeandama na kuua watu walioandika hayo manenoWanaotafsiri hizi aya wachunguzwe
mara nyingi huwa ni wasabato ndo wanafanya madudu kama hayoWanaotafsiri hizi aya wachunguzwe
hatuna sheria inayotutaka kuwaua watu kwa matendo kama hayo. tafsir ya quran inayokubalika na yenye daraja la juu ni ya Ibn kathyr tuHayo ni maneno ya Allah. Kama ingekuwa ni uongo, waislamu dunia nzima wangeandama na kuua watu walioandika hayo maneno
Unatakiwa umuulize aliyeandika.Aya za Quran zinajitegemea hayo maelezo wewe umeyatoa wapi,?
Hiyo spirit wangekuwq nayo wanajeshi wa DRC mbona M23 angekaa😂😂😂Oy wanangu sema Nini hawa watu ni wabishi vibaya
Mji wa Gaza ushakuwa ni magofu. Huo ushindi wanashangilia wa nn? Nilitegemea kipindi Israel imetangaza vita, Hamas wangekaa pale mpakani kuhakikisha jeshi la Israel halingii Gaza😀😀😀
Muisrael 1 ni sawa na wapalestina 30
Anashangilia ushindi upi?Miongoni mwa makamanda muhimu Israel iliotangaza kuwaua ni pamoja na Mohammed Deif na mwenzake Hussein Fayyad aliyetajwa kama mtaalamu wa kutengeneza makombora ya Hamas .
Huku majaaliwa ya Mohammed Deif yakiwa bado hayajathibitika, mwenzake Hussein Fayyad ameendelea kuonekana kwenye mitaa ya Gaza akiwa na vikosi vya Hamas akishiriki makabidhiano ya mateka.
Vikosi vya IDF vilitangaza kumuua Hussein mnamo mwezi Mei mwaka jana ndani ya mahandaki kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza.
Baada ya kuona video ikimuonesha Hussein jeshi la Israel limetoa taarifa ya kukubali kuwa taarifa zake za kientelijinsia kuhusuana naye zilikuwa na kasoro.
Israel's false claim of Hamas leader's death exposed as Hussein Fayyad reappears in Gaza
Namimi nakujibu tena hio aya inajitosheleza hayo yaliyoongezwa aulizwe aliyeongeza Quran sio dhaifu yakusaidiwa manenoUnatakiwa umuulize aliyeandika.
Ingekuwa ni uongo na wala si maneno ya Allah. Waislamu dunia nzima wangeandamana na kuua watu walioandika. Nakuwekea tena usome kwa makini
View attachment 3214400
christian zionist hapo ndo walikofanikiwa kupitisha agenda zaoMkristo anaejitambua myahudi kamili kwake ni kafiri mkubwa, sema wakristo hawaijui dini yao kutokana na kuwanyenyekea sana viongozi kuliko Mungu wao na kitabu, hawahukumiani kwa kitabu bali kwa maagizo ya viongozi, huo ni udhaifu mkubwa umeikumba dini yao, wamejitakia wenyewe Yesu kawaachia dini imara iliyonyooka lakini sasa hivi mkristo anayemjua Yesu ni wakitafuta kwa tochi
Kama aliyeandika ni uongo. Huyu mwandishi angekuwa ameuwawa au anatafutwa kuuwawaNamimi nakujibu tena hio aya inajitosheleza hayo yaliyoongezwa aulizwe aliyeongeza Quran sio dhaifu yakusaidiwa maneno
ngeza
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.Namimi nakujibu tena hio aya inajitosheleza hayo yaliyoongezwa aulizwe aliyeongeza Quran sio dhaifu yakusaidiwa maneno
ngeza
Kama ilishindikana kipindi kile cha mataifa 11 ya kiislamu yanaishambulia Israel. Hiyo ndiyo msahauNa mmarekani awache wiki moja tu kutomsaidia Myahudi , utaona hata mwezi mwingi vijana wanaichukua israeli yote
16:97 wanawake na wanaume wote wameahidiwa starehe za kutosha, wanawake wanapenda urembo na kila kitu kinachoonekana kwa macho kuwapendeza Na Mwenyezi hashindwi kuwastarehesha wakatulia tuliiiAllah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-
Quran 37:48-49:
And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.
“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.