Kamanda wa Hezbollah huko Lebanon ya kusini, Mohamed Hussein Ramal auawa kwa shambulizi la ndege za Jeshi la Israel

Kamanda wa Hezbollah huko Lebanon ya kusini, Mohamed Hussein Ramal auawa kwa shambulizi la ndege za Jeshi la Israel

Ritz na Sir John Roberts naona Adiosamigo anapita huu uzi kama anaaga maiti. Hawatoi maoni yoyote.
Hiyo timu pamoja na bikra kizee FaizaFoxy walikuwa wanashangilia issue ya makombora 180 ambayo yaliua nzi tuu... Wakaanzisha nyuzi humu siku 7 mfululizo bandika bandua... Tuliwaambia sana waandae na nyuzi za kulia Lia ila wakabisha... Hivi wanavyo mchukulia simple IDF wao wanaweza hata kugusa unywele wa Benjamin? Wawe wakweli!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mjisomee wenyewe hapo chini:



October 18, 2024

IDF says Hezbollah commander in Taybeh area of southern Lebanon killed in airstrike


Today, 8:12 am
2

The military says that it killed the commander of Hezbollah’s Taybeh compound Mohammad Hussein Ramal in an airstrike in southern Lebanon.

The IDF says Ramal was responsible for planning and carrying out terror activities against Israel and was killed in the airstrike directed by troops of the 98th Division.

At the same time, troops of the 7th Armored Brigade located and destroyed several rocket launchers primed for launch toward northern Israel, the military says.

It adds that troops of the 36th and 91st divisions have uncovered weapons belonging to Hezbollah during operations against the terror group in southern Lebanon, including sniper rifles, anti-tank missile launchers, and Burkan-type missiles, which it says were “ready for use” and aimed at Israel’s territory.

The military statement adds that the Israeli Air Force also acted against a terrorist cell in southern Lebanon that was preparing to fire an anti-tank missile at troops operating on the ground.
Israel itawachinja mpaka abakie kibaka tuu mtaani.
 
Hiyo timu pamoja na bikra kizee FaizaFoxy walikuwa wanashangilia issue ya makombora 180 ambayo yaliua nzi tuu... Wakaanzisha nyuzi humu siku 7 mfululizo bandika bandua... Tuliwaambia sana waandae na nyuzi za kulia Lia ila wakabisha... Hivi wanavyo mchukulia simple IDF wao wanaweza hata kugusa unywele wa Benjamin? Wawe wakweli!
Nilimwambia Fauzia Fox ukitaka kuishi kwa raha duniani lazima uwapende wayahudi na marekani ili upate heri na miaka mingi duniani.sasa hivi wanamsiba juu ya msiba mpaka mchozi yawakaukie
 
Mpaka sasa askari wa Hezibollah zaidi ya 1500 wameuwawa, according to IDF.
Hizb ana data zake na nyie mna zenu kwa namna hizbo anapigana kwa kuvizia si rahisi hao 1500, idf ndio rahisi kupelekwa kuzimu kwanza wengi hawashuki kwenye tenki hizbo wana silaha za kufumulia tenki za kirusi hakuna tenki nzima kaskazini kila siku wanaleta nyingine...
 
Back
Top Bottom