Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Kwani nimekataaa......jipigie makofi basiKila kitu kiko wazi Urusi ni jina tu , uwezo hakuna zaidi ya makelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nimekataaa......jipigie makofi basiKila kitu kiko wazi Urusi ni jina tu , uwezo hakuna zaidi ya makelele
Ni jambo la aibu mtu anashindwa kujitetea anarudia picha
Ukweli huwezi kataa kula sindano hiyoKwani nimekataaa......jipigie makofi basi
Nitetee basi kobazi si unatoa msaada naomba msaada kobaziNi jambo la aibu mtu anashindwa kujitetea anarudia picha
Weee na nyie mnakulaga hizo kumbeUkweli huwezi kataa kula sindano hiyo
Msaada anapewa Putin, kashikwa pabaya na ZelenskyNitetee basi kobazi si unatoa msaada naomba msaada kobaziView attachment 3127536
Utakula sana sindano kijana na hoja zako muflisiWeee na nyie mnakulaga hizo kumbe
Sema ameeen.......kashikwa huku kavaa abaya amiiiiMsaada anapewa Putin, kashikwa pabaya na Zelensky
Sasa kama mmemshika si muueni kelele za nini?Sema ameeen.......kashikwa huku kavaa abaya amiiiiView attachment 3127540
Halafu tunashushia na kitimoto na bia sio amiUtakula sana sindano kijana na hoja zako muflisi
sasa hii ina husika vip na uzi dogo? una hali mbaya kama PutinHalafu tunashushia na kitimoto na bia sio amiView attachment 3127541
Kwanini tuue toy letu jamaniSasa kama mmemshika si muueni kelele za nini?
Saanaa amii naomba buku 5 ya mbuzi katoliki amiii saidia amiisasa hii ina husika vip na uzi dogo? una hali mbaya kama Putin
Hamna uwezo wala ubavu wa kumshika SinawarKwanini tuue toy letu jamani
Kabisaaaa sinawaaar akbaaaarHamna uwezo wala ubavu wa kumshika Sinawar
Mwanaume aombi wewe , kumbe shida imeanzia mbaliSaanaa amii naomba buku 5 ya mbuzi katoliki amiii saidia amii
Amekaa na mateka wake anakula maishaKabisaaaa sinawaaar akbaaaar
Hata mtume alisemaga hivoMwanao aombi wewe , kumbe shida imeanzia mbali
Kabisa wapo mbinguni wakifauduAmekaa na mateka wake anakula maisha
Mtume ametulia anakula maisha sio kuimba imbaHata mtume alisemaga hivo