ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Wako Gaza mwaka wa pili huu Israel haoni kituKabisa wapo mbinguni wakifaudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako Gaza mwaka wa pili huu Israel haoni kituKabisa wapo mbinguni wakifaudu
Kurani sura ya ngapi hio sheheeMtume ametulia anakula maisha sio kuimba imba
Kabisaaa mudi fundi aseeeWako Gaza mwaka wa pili huu Israel haoni kitu
Kurani ndio nini wewe?Kurani sura ya ngapi hio shehee
Amekaa na waisrael zaidi ya 20 hakuna kitu IDF watamfanya SinawarKabisaaa mudi fundi aseee
Kabisa amiii,,hivi kule nako wanapelekaga shisha na mirungi??Amekaa na waisrael zaidi ya 20 hakuna kitu IDF watamfanya Sinawar
Rapu fulani ya kinyamwezi amih,,,hujakariri mistari??Kurani ndio nini wewe?
sasa rapu ya kinyamwezi ina husika vip na kinacho zungumzwa hapa!! au ndio kuchanganyikiwa ?Rapu fulani ya kinyamwezi amih,,,hujakariri mistari??
Haya maswali kawaulize wauza shisha, dogo mbona kama umevurugwa?Kabisa amiii,,hivi kule nako wanapelekaga shisha na mirungi??
sasa rapu ya kinyamwezi ina husika vip na kinacho zungumzwa hapa!! au ndio kuchanganyikiwa ?
dogo hapa unajadiliana na mtaalamu, mbona unaandika kama kidato cha kwanza?Hata makombora nayo hua yanatoa furii staili yakhee.......au mlio wa ruhani kama biti la dre
Aah vilaza wa madrasa hamna la maana.....acha nifanye ya maana tukikutana tutaendelea,,,,sie hatufugi majini ya chuma ulete nikae napoteza nguvu kwa kilaza acha nijenge taifa acha baadae nikija nkununulie kahawa ya jero ami na sigaretidogo hapa unajadiliana na mtaalamu, mbona unaandika kama kidato cha kwanza?
Saana ami nimetupiwa jini la pemba msumbiji ami naomba msaada wa kisomoHaya maswali kawaulize wauza shisha, dogo mbona kama umevurugwa?
Hakuna jini la kutupiwa binadamu zile ni story tuSaana ami nimetupiwa jini la pemba msumbiji ami naomba msaada wa kisomo
Jini halifugwi achana na maneno ya mitaani weweAah vilaza wa madrasa hamna la maana.....acha nifanye ya maana tukikutana tutaendelea,,,,sie hatufugi majini ya chuma ulete nikae napoteza nguvu kwa kilaza acha nijenge taifa acha baadae nikija nkununulie kahawa ya jero ami na sigareti
Kwahio miaka hii ya kidijitali mmeanza kufuga mbuzi badala ya majini yaheeJini halifugwi achana na maneno ya mitaani wewe
Dini ya kiislamu haijawai kumfundisha mtu kuwa majini yanafugwaKwahio miaka hii ya kidijitali mmeanza kufuga mbuzi badala ya majini yahee
Wacha weee....kwahio mmejiamulia tu sio.......sie makafiri tunafuga na ni raaha sana kuyafuga aseeDini ya kiislamu haijawai kumfundisha mtu kuwa majini yanafugwa
Shida ni maneno yenu ya mtaani kufanya ni ya dini ya kiislamuWacha weee....kwahio mmejiamulia tu sio.......sie makafiri tunafuga na ni raaha sana kuyafuga asee
Weeee......,,kweli mtaani kuna mengi, kwahio na yale mnayowaambiaga makafiri ni maneno tu ya mtaani??Shida ni maneno yenu ya mtaani kufanya ni ya dini ya kiislamu