Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

sasa rapu ya kinyamwezi ina husika vip na kinacho zungumzwa hapa!! au ndio kuchanganyikiwa ?

Hata makombora nayo hua yanatoa furii staili yakhee.......au mlio wa ruhani kama biti la dre
 
dogo hapa unajadiliana na mtaalamu, mbona unaandika kama kidato cha kwanza?
Aah vilaza wa madrasa hamna la maana.....acha nifanye ya maana tukikutana tutaendelea,,,,sie hatufugi majini ya chuma ulete nikae napoteza nguvu kwa kilaza acha nijenge taifa acha baadae nikija nkununulie kahawa ya jero ami na sigareti
 
Aah vilaza wa madrasa hamna la maana.....acha nifanye ya maana tukikutana tutaendelea,,,,sie hatufugi majini ya chuma ulete nikae napoteza nguvu kwa kilaza acha nijenge taifa acha baadae nikija nkununulie kahawa ya jero ami na sigareti
Jini halifugwi achana na maneno ya mitaani wewe
 
Back
Top Bottom