Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
mdogo wangu mbona kama hujaelewa, nimekazia tu kwamba tuliletewa kobasi na suruali fupi wakati ki asili tulikuwa tunavaa surruali ndefu.Ulitaka akuletee magita ili ukaimbe imbe huko kwa Mungu wako mbinguni?
Kwani nimesema kuvaa kobasi na suruali fupi na kuongea kama waliotuleetea ni vibaya?