Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kwa hiyo radar kubwa mnashindwa kujua walipo? si mnasema ndio mnamiliki radar pale mashariki ya kati . πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Kwani kamanda wenu yule wa juzi yuko wapi ?
Mimi ni team humanity mkuu sinaga upande wakat wa vita labda kama jwtz wanahusika ndio nakuaga upande wao.
Maana hakuna faida ya kushikilia watu 150 wakat watu mlio apa kuwalinda wanaangamia ni ego za kipimbi, waachie mateka watu wapumue na wao wajipange for next ambush huenda kuna siku wakatoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…