Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kijana uwe unasoma kuelekeza mtu mzima kama wewe ni aibu
Kabisaa amiii........wale 20 kaeni nao tu amiih,,sie kwetu kutoa kafara kama wakinga sio shida saaana aamiii
Screenshot_20241017-204709_Chrome.jpg
 
Kwa hiyo radar kubwa mnashindwa kujua walipo? si mnasema ndio mnamiliki radar pale mashariki ya kati . 😀 😀 😀

Kwani kamanda wenu yule wa juzi yuko wapi ?
Mimi ni team humanity mkuu sinaga upande wakat wa vita labda kama jwtz wanahusika ndio nakuaga upande wao.
Maana hakuna faida ya kushikilia watu 150 wakat watu mlio apa kuwalinda wanaangamia ni ego za kipimbi, waachie mateka watu wapumue na wao wajipange for next ambush huenda kuna siku wakatoboa
 
Back
Top Bottom