ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kijana uwe unasoma kuelekeza mtu mzima kama wewe ni aibuWeeee......,,kweli mtaani kuna mengi, kwahio na yale mnayowaambiaga makafiri ni maneno tu ya mtaani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana uwe unasoma kuelekeza mtu mzima kama wewe ni aibuWeeee......,,kweli mtaani kuna mengi, kwahio na yale mnayowaambiaga makafiri ni maneno tu ya mtaani??
Kabisaa amiii........wale 20 kaeni nao tu amiih,,sie kwetu kutoa kafara kama wakinga sio shida saaana aamiiiKijana uwe unasoma kuelekeza mtu mzima kama wewe ni aibu
Toka lini mateka wakaombwa waachie bila kulipa gharama yake?hilo ombi labda wakawaombe wake zaoKabisaa amiii........wale 20 kaeni nao tu amiih,,sie kwetu kutoa kafara kama wakinga sio shida saaana aamiiiView attachment 3128054
Netanyahu akbaaaar.......rudia tena mara 3 kobazi usamehewe dhambi zakoToka lini mateka wakaombwa waachie bila kulipa gharama yake?hilo ombi labda wakawaombe wake zao
Akbar vip wakati raia zake wako mashimoni wameshikiliwa?Netanyahu akbaaaar.......rudia tena mara 3 kobazi usamehewe dhambi zako
Netanyahu akbaaaaarAkbar vip wakati raia zake wako mashimoni wameshikiliwa?
Mimi ni team humanity mkuu sinaga upande wakat wa vita labda kama jwtz wanahusika ndio nakuaga upande wao.Kwa hiyo radar kubwa mnashindwa kujua walipo? si mnasema ndio mnamiliki radar pale mashariki ya kati . 😀 😀 😀
Kwani kamanda wenu yule wa juzi yuko wapi ?