Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

HAIJALISHI NARUDIA TENA KWA MSISITIZO TUKO RADHI KUCHUKIWA, KUTEMEWA MATE, KUBAGULIWA, KUTUKANWA, KUDHARAULIWA, KUDHALILISHWA, KUTENGWA, KUPIGWA, KUFUNGWA, KUNYAPALIWA, KUNYONGWA, KUZOMEWA NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.

Malaria 2 LIKUD Nyonzo bin mvule hydroxo Adiosamigo kimsboy Ritz FaizaFoxy gTurn Adiosamigo Webabu brazaj Bwana Utam Sir John Roberts 100 others and 100 others ChoiceVariable incharge

Nyau de adriz
Dogo acha porojo jamvini.

Yahudi anakuona wewe kama kenge tu.
 
Muhammad Kamel Naim, kamanda wa kikosi maalum cha Radwan cha jeshi la Hezibollah, kikosi maalum cha makombora ameuawa kwenye shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.

Pia Israel imefanya shambulio jingine, kwa mara ya kwanza kaskazini mwa Lebanon na kuua watu 22. Haijajulikana bado kama hao 22 ni raia au wapiganaji wa Hezbollah.

Kuuawa kwa kamanda wa Hezbollah kunafuatia shambulio la drone la Hezbollah kwa Israel ambalo liliua askari wanne, kujeruhi vibaya 7 na kuwapa majeraha madogo askari wengine 61 wa Israel.

Red Cross nchini Lebanon, wamesema kuwa kwa sasa nchini Lebanon hakuna eneo lililo salama.
=======================

Israel kills commander of elite anti-tank missile unit​

Israel has killed the commander of the anti-tank missile unit of Hezbollah's elite Radwan Force, its military has said.
Muhammad Kamel Naim was killed in a strike in the Nabatieh area of south Lebanon, it added.

1h ago18:57

Number killed rises to 21 in Israel's first strike on northern Lebanon​

The number of people killed in an Israeli airstrike on an apartment building in northern Lebanon has risen to 21, according to the Lebanese Red Cross.
There was no immediate comment from the Israeli military and it was not clear what the target was.

Tuombe hekima ya Mungu iwaguse watu wote ili ugaidi ukome, vita vikome, umoja na upendo vitawale, ili watu waishi kwa amani, kama Kristo alivyosema, "Amani Iwe Kwenu"
Anasheherekea na nanii zake 72.
 
HAIJALISHI NARUDIA TENA KWA MSISITIZO TUKO RADHI KUCHUKIWA, KUTEMEWA MATE, KUBAGULIWA, KUTUKANWA, KUDHARAULIWA, KUDHALILISHWA, KUTENGWA, KUPIGWA, KUFUNGWA, KUNYAPALIWA, KUNYONGWA, KUZOMEWA NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.

Malaria 2 LIKUD Nyonzo bin mvule hydroxo Adiosamigo kimsboy Ritz FaizaFoxy gTurn Adiosamigo Webabu brazaj Bwana Utam Sir John Roberts 100 others and 100 others ChoiceVariable incharge

Nyau de adriz
Kasome vitabu vya dini utazame nani aliye laniwa kati ya Mwarabu na Myahudi
 
Ila kama allah ananguvu mnaombaje mpigwe taf na mla kitimoto Putin na kafiri mwengine mchina?? Si mpambane tu kivyenu maana hao wote ni haram
Allah ana nguvu ndio maana hakuna haja ya kumtoa sijui mwanao kutundikwa, wakati wote ni watu wake watakufa tu, Allah amenyooka kila kitu kipo sawa, wachina , wahindi wote watu wake hao wanapaswa kuambiwa dini, atakae leta mapigano mnapigane nae
 
Sasa kwa wasiokula kitimoto nako anajibiwa nani??? Huko kwa wala kitimoto bwana Putin maombi yake yanajibiwa je huko kwenu pakoje
Kwahiyo Zelensky hajibiwi ? anajibiwa Putin wakati mwaka wa 3 huu anasaidiwa na Iran ambaye ni muislamu , labda kama Iran na N korea ndio Yesu wenyewe
 
HAIJALISHI NARUDIA TENA KWA MSISITIZO TUKO RADHI KUCHUKIWA, KUTEMEWA MATE, KUBAGULIWA, KUTUKANWA, KUDHARAULIWA, KUDHALILISHWA, KUTENGWA, KUPIGWA, KUFUNGWA, KUNYAPALIWA, KUNYONGWA, KUZOMEWA NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.

Malaria 2 LIKUD Nyonzo bin mvule hydroxo Adiosamigo kimsboy Ritz FaizaFoxy gTurn Adiosamigo Webabu brazaj Bwana Utam Sir John Roberts 100 others and 100 others ChoiceVariable incharge

Nyau de adriz
Kwahiyo kutukanwa na kutengwa na wayahudi kwako ni baraka? Sasa akili kama hizi si ukichaa huu ahahahaha, Huyo Mungu wako kama anakufundisha huu utumwa wa akili achana nae
 
Kwahiyo Zelensky hajibiwi ? anajibiwa Putin wakati mwaka wa 3 huu anasaidiwa na Iran ambaye ni muislamu , labda kama Iran na N korea ndio Yesu wenyewe
Mwaka wa 3 mtu keshamegwa yeye kamega wapi?? Anasaidiwa kwani anapewa bure,,au akitaitiwa utasikia anaenda kulilia kobazi lilete msaada zaidi tu ataenda kwa makafiri wengine wa UN ila upande wa pili mambo yakiwa magumu wanaanza hadi kuwamaind wasiokula kitimoto na kulialia kwa wala kitimoto wengine wawaonee huruma
 
Allah ana nguvu ndio maana hakuna haja ya kumtoa sijui mwanao kutundikwa, wakati wote ni watu wake watakufa tu, Allah amenyooka kila kitu kipo sawa, wachina , wahindi wote watu wake hao wanapaswa kuambiwa dini, atakae leta mapigano mnapigane nae
Ana nguvu wakati akiwatibua huko makwenu mnakimbilia kwenye nchi ambazo sio za allah,,,,kwahio anachoma kambi yake huku hajui pa kuwapeleka,,,dah huyo mungu ni shida
 
Mwaka wa 3 mtu keshamegwa yeye kamega wapi?? Anasaidiwa kwani anapewa bure,,au akitaitiwa utasikia anaenda kulilia kobazi lilete msaada zaidi tu ataenda kwa makafiri wengine wa UN ila upande wa pili mambo yakiwa magumu wanaanza hadi kuwamaind wasiokula kitimoto na kulialia kwa wala kitimoto wengine wawaonee huruma
Watu wamechukua Kursk eneo la Urusi, mwaka wa 3 mnaangaika tu hakuna mlichofikia Target, matokeo yake mnapiga magoti kwa Iran muislamu na N korea ambaye hajui hata biblia, N korea mpagani na Iran ndio Yesu wa Putin
 
Ana nguvu wakati akiwatibua huko makwenu mnakimbilia kwenye nchi ambazo sio za allah,,,,kwahio anachoma kambi yake huku hajui pa kuwapeleka,,,dah huyo mungu ni shida
Allah yupo kila sehemu wanaokimbia ni wao ila watu wapo pale na wanaendelea na shughuli zao
 
Bila dini ya muarabu duniani tungekuwa na amani sana, hebu waza Somalia wote dini moja ila mipumbavu inalipuana kila siku.
Yaani shetani alitumia muarabu kubuni hiyo dini, maana hata ukiangalia ni ndio dini changa kati ya zote.
Umenena vyema sana
 
Watu wamechukua Kursk eneo la Urusi, mwaka wa 3 mnaangaika tu hakuna mlichofikia Target, matokeo yake mnapiga magoti kwa Iran muislamu na N korea ambaye hajui hata biblia, N korea mpagani na Iran ndio Yesu wa Putin
Wamechukua wapi we ,,hata Idi amin aliingia kagera ila aliingia kutalii tu,,,hao ni watalii hamna hata mwananchi m1 wa urusi wanaemtawala wakati mrusi anatawala eneo kubwa la ukraine pamoja na wananchi wake wanamkubali bwana Putin,,,,,kobazi safari hii mmepigwa kabali mbaya sana,,,,ndo maana na vikosi vyenu huku Africa vimepungua
 
Wamechukua wapi we ,,hata Idi amin aliingia kagera ila aliingia kutalii tu,,,hao ni watalii hamna hata mwananchi m1 wa urusi wanaemtawala wakati mrusi anatawala eneo kubwa la ukraine pamoja na wananchi wake wanamkubali bwana Putin,,,,,kobazi safari hii mmepigwa kabali mbaya sana,,,,ndo maana na vikosi vyenu huku Africa vimepungua
Watu wamechukua Kursk wewe unaleta porojo, Urusi kwasasa anaishi kwa msaada wa Wapagani N korea na kobazi Iran, kwahiyo hakuna cha maana hapo , Putin ameshakuwa tegemezi
 
Back
Top Bottom