Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.

====
Pia soma:
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.
Hivi 7ya na aliyevamia MAWINGU STUDIO WOTE WAKO ARUSHA au wako MBEZI?
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.
Eti alipelekwa wapi kwanza?Arusha kulekule kwa Mkuu wa mkoa wetu yule.
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.
Udikteta ni kitu kibaya Sana duniani kote.
 
Back
Top Bottom