Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Hapa ndio tujifunze, wasiojulikana ni idara inayoishi, siku zote wapo kazini bila kujali nani yupo madarakani.

Hata kwa mama yenu chura kiziwi nae wanamtumikia, na serikali yake inawalipa mishahara.

Ndio maana haya matukio yanaendelea kutokea kila siku, polisi wako kimya hawafanyi uchunguzi wowote zaidi ya kutoa taarifa fupi zisizotibu tatizo.

Ukweli ni kwamba, bado usalama wa mtanganyika upo shakani, wala tusidanganyane na zile 4R za maigizo.
 
Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka
Msitarajie RPC afungue code zaidi ya hapo. Kama hamjaelewa na bakini hivyohivyo.
 
Bora tuendelee kubishana juu ya Simba na Yanga, huko kwingine muda wowote parapanda inaweza lia juu yetu.
Ukaingiziwa kitu chenye ncha kali kitokee mdomoni................acha ligi ianze tu
 
Haponi tena huyo.. Wanaharakati wa Tanzania sijui kwanin hawatak kujifunza... wacha tu waliwe vichwa
 
Eti alipelekwa wapi kwanza?Arusha kulekule kwa Mkuu wa mkoa wetu yule.
Bashite ndiye bosi wa kundi la wasiojulikana hivyo walienda Arusha kumuonyeha kuwa kazi uliyotutuma hii hapa naye akatoa maelekezo wamuue kisha wakamtupe katavi aliwe na wanyama kupoteza ushahidi.
 
Makonda anahusika hapa, sababu ya kupelekwa Arusha ni ipi Kamanda wa Polisi ahojiwe vizuri japo ni vigumu.
Kumbe...

Sasa Makonda ana nguvu gani kimamlaka mpaka apelekewe huyo jamaa Arusha?!

Au mama Abdul ndie aliagiza Makonda apelekewe huyo jamaa?
 
Back
Top Bottom