Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Bashite akaona wakamtupe mbali Katavi ili asijulikane ni yeye aliesimamia show mzima
Kwamba BASHITE ndio mtetezi wa Samia au Bashite n nani yani hapa Tz hadi afikie hatua ya kupambana na mtu ambaye wala hayupo mkoani kwake who is Bashite, Mwanaharakati hauoni una kichwa kibovu!?

Kwann sio CCM ,kwann sio Chura Kiziwi, why not Chalamila, Why Bashite, Totally hatred.
 
Kwamba BASHITE ndio mtetezi wa Samia au Bashite n nani yani hapa Tz hadi afikie hatua ya kupambana na mtu ambaye wala hayupo mkoani kwake who is Bashite, Mwanaharakati hauoni una kichwa kibovu!?

Kwann sio CCM ,kwann sio Chura Kiziwi, why not Chalamila, Why Bashite, Totally hatred.
Hapa anaewindwa ni Makonda na iko wazi kuna watu wamenusa sasa wanajipanga
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.

====
Pia soma: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
4R HIZO!!
 
Hapa ndio tujifunze, wasiojulikana ni idara inayoishi, siku zote wapo kazini bila kujali nani yupo madarakani.

Hata kwa mama yenu chura kiziwi nae wanamtumikia, na serikali yake inawalipa mishahara.

Ndio maana haya matukio yanaendelea kutokea kila siku, polisi wako kimya hawafanyi uchunguzi wowote zaidi ya kutoa taarifa fupi zisizotibu tatizo.

Ukweli ni kwamba, bado usalama wa mtanganyika upo shakani, wala tusidanganyane na zile 4R za maigizo.
 
What you need to understand is that there is no crime in our country that is punishable by abduction, torture, and murder. None. The country has a constitution and laws. We cannot allow state apparatus to engage in abduction and murder under the pretext of 'hana adabu.' Being a leader means knowing that you will lead people of various personalities and characters, and you must tolerate them all. If someone has committed an offense, there are legal systems in place. Why don't you understand something so simple? If your mother insults your father, does your father punish her with death? Let's try to use our brains like human beings and not like hyenas! If a leader cannot withstand criticism, then they should go and take care of their grandchildren, leadership is not for them!
Whether you like it or not the boy was incorrigible. He deserved the corporal punishment delivered to him accordingly
 
Kwa hiyo mtu akitukana basi adhabu yake no kutekwa? Mahakama zipo kwa ajili ya kazi gani?
Kuna watu hawafundishiki hata na Mahakama. Angelipa faini labda Tsh 500,000 baada ya hapo anaendelea na matusi.

Tujipe muda tuone kama atarudia matusi yale ndiyo turudi kwenye mada hii
 
Whether you like it or not the boy was incorrigible. He deserved the corporal punishment delivered to him accordingly
This is where your problem lies. It’s not about 'what I want' or 'what you want.' It’s a matter of 'what the law requires.' A country is not governed by the whims of individuals but by the mandates of the constitution and the law. You members of the CCM party think that the desires of individuals govern the country. That is why you resort to abduction and killing simply because someone wants it. Try using your medulla oblongata and not your emotions. It deeply saddens me to know that in this century, there are still people who fail to understand the role of law and the constitution in a country.
 
Whether you like it or not the boy was incorrigible. He deserved the corporal punishment delivered to him accordingly
Sikuwahi kudhani waweza kuwa mpuuzi kiasi hicho. Huyo jamaa wamemtesa na kuamua kumuua kisha kumtupa pori lenye mafisi wamle na ushahidi upotee! Hakufa maana Mungu hajakubali huo unyama.
Sasa wewe na akili zako (nilizokuwa nadhani ni timamu) unakuja kutuambia anastahili? Brother, sijui sister ngoja nikuambie. Hakuna kosa lisilokuwa na adhabu yake kisheria, kutesa na kuua ni maamuzi ya watu WAOGA walio na madaraka. Na kama wako sawa wajitokeze hadharani na kusema sisi ndio tumemteka Sativa na kujaribu kumuua ili tuwapongeze.
Next time use your brain before write your opinions
 
This is where your problem lies. It’s not about 'what I want' or 'what you want.' It’s a matter of 'what the law requires.' A country is not governed by the whims of individuals but by the mandates of the constitution and the law. You members of the CCM party think that the desires of individuals govern the country. That is why you resort to abduction and killing simply because someone wants it. Try using your medulla oblongata and not your emotions. It deeply saddens me to know that in this century, there are still people who fail to understand the role of law and the constitution in a country.
Ukiwa na akili timamu sawa sawa kabisa lazima utakubaliana nami kwamba kuishi Afrika ni mateso makubwa na tena ni mzigo mkubwa sana, hii ni kutokana na sababu ya namna Watawala katika nchi zetu hizi jinsi wanavyofikiri akilini mwao kuhusu namna ya kuendesha nchi na wananchi wake.
 
Ukiwa na akili timamu sawa sawa kabisa lazima utakubaliana nami kwamba kuishi Afrika ni mateso makubwa na tena ni mzigo mkubwa sana, hii ni kutokana na sababu ya namna Watawala katika nchi zetu hizi jinsi wanavyofikiri akilini mwao kuhusu namna ya kuendesha nchi na wananchi wake.
Kweli kabisa mkuu.
 
Kwamba BASHITE ndio mtetezi wa Samia au Bashite n nani yani hapa Tz hadi afikie hatua ya kupambana na mtu ambaye wala hayupo mkoani kwake who is Bashite, Mwanaharakati hauoni una kichwa kibovu!?

Kwann sio CCM ,kwann sio Chura Kiziwi, why not Chalamila, Why Bashite, Totally hatred.
Tundu Lissu alivyomiminwa risasi alikua jiji la Dar es salaam?
 
This is where your problem lies. It’s not about 'what I want' or 'what you want.' It’s a matter of 'what the law requires.' A country is not governed by the whims of individuals but by the mandates of the constitution and the law. You members of the CCM party think that the desires of individuals govern the country. That is why you resort to abduction and killing simply because someone wants it. Try using your medulla oblongata and not your emotions. It deeply saddens me to know that in this century, there are still people who fail to understand the role of law and the constitution in a country.
The only measure to see which one is an effective correctional method between the court ruling and punishment by his abductors will be his conduct after this trauma.

Let's give it time and observe
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.

====
Pia soma: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Tanzania tajiri kweli!
 
Back
Top Bottom