Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.

====
Pia soma: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Haya ni matokeo ya viongozi wa kisiasa kuingia madarakani kwa wizi wa kura. Kimsingi polisi huwa ni machineries za dola hivyo iwapo viongozi waliopo madarakani hawapo kihalali, lazima mateso haya yawapate wananchi kwasababu wananchi wanalazimishwa kutawaliwa kwa nguvu
 
Imbecile what are you insinuating? Sativa got paid for what he was after!! Insults are not tolerable same as violence
Your limited intellectual capacity is the reason you fail to recognize the harm in someone being abducted. This can happen to anyone, even your own mother. Intelligent people unite to condemn such cruelty rather than supporting it. You are very unfortunate to lack discernment.
 
Haya ni matokeo ya viongozi wa kisiasa kuingia madarakani kwa wizi wa kura. Kimsingi polisi huwa ni machineries za dola hivyo iwapo viongozi waliopo madarakani hawapo kihalali, lazima mateso haya yawapate wananchi kwasababu wananchi wanalazimishwa kutawaliwa kwa nguvu
Simple advice : Fanya mazoezi mengi ya kupambana na Chatu kwanza kabla hujaanza
Screenshot_20240627-220013.png
 
HOJA NA ZIJIBIWE KWA HOJA,
NA SIO UTEKAJI.
Kwa sasa wanachoweza ni kuteka na kupoteza yeyote anaekosoa wizi na ufisadi wao
Mwenyekiti wa uvccm kagera Faris Buruhan alishasema.
 
Imbecile what are you insinuating? Sativa got paid for what he was after!! Insults are not tolerable same as violence
Kumbe Jamaa cha matusi? Hio mitusi hata Mama yake akiona atashtuka sana
Screenshot_20240627-221949.png
 
pole sana sativa255, kijana mpambanaji,
nakuombea kwa Mungu, ahueni na uponyaji wa mapema 🐒
 
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo Mpigwe Kibaoni

SACP Ngonyani amesema Sativa aliokotwa Usiku wa Kuamkia Juni 27, 2024 Barabarani maeneo ya Pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi (Barabara ya Msimbwe Majimoto inayoelekea Mpanda.

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana

Ameongeza "Mgonjwa ameongea Mwenyewe japo kwa shida amesema alikamatwa na Watu Juni 23 Mbezi kwa Msuguri, kisha akapelekwa Mkoani Arusha katika sehemu ambayo haijui na baadaye kuletwa Katavi ambapo alipigwa na kitu chenye ncha kali ambacho anasema kilitokea mdomoni kisha Wakamtupa kwenye msitu huo na kutoweka

Amesema "Mgonjwa alijikokota kutoka Porini hadi Barabarani ambapo Wasamaria wema walimwona na kumpakia kwenye gari kisha kumpeleka Hospitali. Aliongea kidogo sana kwa sasa haongei. Tunasubiri taarifa ya Daktari kuhusu alichomwa na kitu gani.

====
Pia soma: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Je unapomuua mwenzako .unauhakika hutakufa?
 
Nawaza kwa maandishi kwa njia ya kujiuliza.
  • hivi huu ukatili umeanza kurudi? Au ni njia ya kumchafua Fulani?
  • Je kama Fulani angekuwa muhusika kulikuwa na ulazima gani wa kumpeleka Arusha ndio apelekwe Katavi?
-Sio kwamba fulani anatengenezewa zengwe ili aonekane hafai katika jamii kutokana na historia yake ya nyumba ambayo hata hivyo haina uthibitisho wa wazi?
  • je fulani kweli ni mnyama kiasi cha kila wakati kutaka damu za watu?
  • je huyo fulani hana akili kiasi cha kutaka aletewe huyo mtu nyumbani kwake(mkoani) alafu ndio atoe amri nyingine ya mauaji?
-Je ni kweli kuwa aliyetumia kitu chenye ncha kali kumuadhibu jamaa alikusudia kumuua au kumuacha hai ili awe shuhuda wa kueleza sehemu alikopitishwa ili kuti kavu limwangukie Fulani?

(Maswali niliyonayo ni mengi ila kwa sasa inatosha kusema Kuna kitu hakiko sawa sijui ni akilini mwangu au ni katika tukio zima lilivyo)

Unafikiri fulani hajui zama zimebadilika na akawa amejifunza kutoka kwa swahiba wake aliyeshinda kesi juzi tu??!!
 
Back
Top Bottom