Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo sana wazee wa aina hii, Watupishe.
Upumbavu huu unafanyika Tanzania tu.Ila hizi nchi za daraja la Chini shida sana yaani, hivi inawezekanaje mtu anakuwa na cheo kikubwa sana katika jeshi la polisi au JWTZ alafu akistaafu tu mwezi huo huo anapata cheo kikubwa ndani ya ccm na ilhali kila siku tunaambiwa hawa wa majeshi hawatakiwi kuwa affiliated na vyama vya siasa?
Inawezekanaje baada ya kustaafu ndio anajiunga na ccm? Na kama sio hivyo maana yake tangu akiwa jeshini alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm, sasa huyu unamtegemea vipi kuwa neutral kwenye maamuzi yake wakati akiwa jeshini?
Tena hovyo sana. Unadhani katika utumishi wake kule polisi aliwafanyia CCM mangapiHovyo sana wazee wa aina hii, Watupishe.
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
SaitotiAnaitwa nan huyo DED
Unajua leo wamevaa gwanda ndani wana sare za CCM, ukiondoa magwanda yale ndani unakutana nazo sare za CCMRIP. Kumbe police ni wana CCM
RiP..Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Ameumiza wengi sana iukilinda chama na nafasi zake chamani.Tena hovyo sana. Unadhani katika utumishi wake kule polisi aliwafanyia CCM mangapi
Site njia MojaHata ikiwa ni ya mamilioni, itaaishia kuliwa na mchwa/wadudu kaburini.