Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Wanapojiudhuru au wanapojiuzulu? Ukitaka waishi milele mkuu?Polen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiudhuru au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapojiudhuru au wanapojiuzulu? Ukitaka waishi milele mkuu?Polen sana wafiwa
Lakini ni kwa nini mabosi wanapojiudhuru au kuachishwa kazi wengi huaga dunia mapema?? Kuna nini hasa?
Sawa, alkini tutahukumiwa kwa matendo yetu ndivyo tunavyoambiwa na vitabu vitukufu, tena quran ni kali zaidid kuhusu malipizizWewe sio Mwenyenzi Mungu
Yapi hayo mkuuu?Chico alikuwa kiungo muhimu wa Mahita katika mambo flani
Hawa wawili walikuwa mahasimu?Kilimanjaro bwana.. Arusha alikuwebo hasimu wake James Kombe R.I.P
Pia kipindi chake ujambazi uliongezeka cos alikuwa mwanahisaAlikuwa KAMANDA mashuhuri wa polisi mkoa wa Kilimanjaro.. Alikuwa nmoja wa wanahisa wa chinjachinja Buffalo mabasi
Wapinzani?! Huyu Alikuwa rafiki WA wezi WA magari sambeke babu na kina mangeu....Amewatesa sana wapinzani, anapata hukumu ya haki, ccm haipo naye sasa hivi, yuko peke yake. Hukumu ya haki kwa aliowaonea!
Tume kweli kipind chake Ar na Kilimanjaro kulikuwa na ujambazi wakutisha. Hakuwa mtenda haki. Mungu amsameheImetokea asubuhi hii, Mazishi yatafanyika leo saa kumi jion katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
RIP kamanda Mohammed Chico, Inna lillaah wainnaa ilayhi raajiuun
Kumbe wewe ni wale wa 2000!!Kamanda msela msela yule,
niko darasa la tano nakutana nae kila siku asubuhi nikienda shule akifanya joging peke yake bila ya bodyguard ,tulikua tunaishi same neighbourhood,alikuwa anawajali sana wamama.
rip
HahahaaWapinzani?! Huyu Alikuwa rafiki WA wezi WA magari sambeke babu na kina mangeu....
Una maana ya Babu Sambeke yule aliyeporomoka na kindege chake pale Arusha na kupoteza uhai?Wapinzani?! Huyu Alikuwa rafiki WA wezi WA magari sambeke babu na kina mangeu....
Haha chiko Alikuwa anakula kabang... Ya jamaa anaitwa jafary WA jj telecom moshi huyu jamaa alimchoma dereva fulani hivi moto na yule dereva alifariki, kisa na sababu za kumchoma wanazozijua wao. kisha jj akafunguliwa mashaka akipanda kizimbani.. ilikuwa warombo siku ya kesi wanakodi madcm wanajaa mahakamani jamaa akahukumiwa kifungo nadhani cha maisha akahamishiwa maweni tanga Baada ya wiki akaonekana uarabuni[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] na hiiya kuonekana uarabuni iliripotiwa na km sikosei mwananchi au nipashe gazeti enzi hizooooooooWengine humu huwa tunasahau kwamba kuna vijana waliozaliwa miaka ya 2000. Mara nyingi huwa tunadhani wote ni wa miaka ya 60, 70 na 80. Kamanda Chico alikuwa ni RPC na mara ya mwisho alikuwa RPC Kilimanjaro kabla hajahamishiwa makao makuu ya polisi na kustaafia Makao Makuu ya Polisi. Alikuwa kamanda maarufu kwa mambo mbalimbali. Sijui kama yote yalikuwa na ukweli ama la.
RIP kamanda Chico.