Wapinzani walipata shida likuficha maovu yake kwa watawala ili kiuhalisia Lema ni mtoto wa huruma zake kuficha maovu nikimanisha angekuwa kamanda imara uwenda lema tusingekuwa naye. Kiukweli alilinda makundi ya uhalifu makubwa yaliokuwayakitikisa mikoa miwili.Wakati wake mkoa wa Kilimanjaro ulishamiri sana matukio ya ujambazi wa kupindukia mateso kwa wapinzani na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu