TANZIA Kamanda wa polisi wa zamani Kilimanjaro, Dr. Mohammed Chico afariki dunia

TANZIA Kamanda wa polisi wa zamani Kilimanjaro, Dr. Mohammed Chico afariki dunia

Kamanda msela msela yule,
niko darasa la tano nakutana nae kila siku asubuhi nikienda shule akifanya joging peke yake bila ya bodyguard ,tulikua tunaishi same neighbourhood,alikuwa anawajali sana wamama.
rip
"..... alikua anawajali sana wamama......" Fafanua mkuu!!!
 
Nakumbuka siku moja nilimtembelea ofisini kwake pale Moshi, kiukweli jicho lilizama kwa lineup ya polisi wa kike, nikamtania imetokea tuu au amechagua? .

Akanitania naijua shida yako kwa sababu naujua ugonjwa wa Wasukuma!. Akasema CCP iko Moshi, hapa ndipo jikoni penyewe, naingia mwenyewe jikoni kuchagua! .

Kamanda Chicco alikuwa rafiki wa waandishi wa habari, rafiki wa wote, always smilling. He was simply a man of the people nna sisi Wakristu tunaamini mtu anaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

RIP Kamanda Mohammed Chicco

Paskali
 
RIP Chicco. Kuna namna alitusaidia kimawazo kama familia tulipopitia magumu. Ilisaidia kupata suluhisho fulani kwa haraka.

Alikua na madhaifu yake ikiwemo kuonea huruma majambazi na kupenda chini.

Nadhani ni kamanda wa mwisho mwisho kuwa 'wanapokelewa' na 'wazee' wa moshi. Dizaini ya kina Sambeke Mawalla Kisinani n.k.
 
Back
Top Bottom